Watanzania kuleni nyama ya panya ina vitamini adimu mwilini
Watanzania wameshauriwa kufuga na kula panya aina ya ndezi wakieleza kuwa nyama hiyo haina mafuta mengi, ikiwa pia na virutubisho muhimu na vilivyo adimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Johannesburg ina panya hatari
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Balozi Mahiga: Al-Shabaab ina Watanzania
BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema kuwa amewashuhudia vijana wa Kitanzania wakishirikiana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia. Mahiga, alitoa ushuhuda huo mjini...
10 years ago
VijimamboWatanzania wa jimbo la Georgia na Alabama wakutana kwa hafla ya nyama choma Atlanta, GA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OoWKClwarKo/VXz5ZW7g8_I/AAAAAAAAAc0/bPaJ9gluiME/s640/DSC_0005.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3CnzVV-dL4/VXz5l8FMAyI/AAAAAAAAAdU/Q-1er_thJvA/s640/DSC_0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Qlx5cH2WjA/VXz59hg2OqI/AAAAAAAAAd8/O6rOVWOAwU0/s640/DSC_0013.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dQfQY1XqSQ4/VXz5_g9eQEI/AAAAAAAAAeI/rC9IvNCIhvA/s640/DSC_0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A5rYNuxoS80/VXz6vi4oOHI/AAAAAAAAAfg/XcaGlkhsNc4/s640/DSC_0027.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zfLZF_R2D5E/VXz65nkySQI/AAAAAAAAAf0/-s2mP5upT5o/s640/DSC_0029.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DlThpDy95MA/VXz7aDBuWDI/AAAAAAAAAgs/9yC58emei7I/s640/DSC_0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B3HJf7aOmGQ/VXz70j8DoBI/AAAAAAAAAhg/3aJMkfbKCuI/s640/DSC_0042.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tc4IuErt78A/VXz74mREcHI/AAAAAAAAAhs/bjb3Hlhhvi8/s640/DSC_0046.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-emZo9rbWyLU/VXz8CoByirI/AAAAAAAAAh8/trRuAInIxxY/s640/DSC_0048.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-brExkToctOM/VXz9QLvN3lI/AAAAAAAAAkU/D0LESsThXgo/s640/DSC_0068.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K2R-l36ahA4/VXz-TY2JwdI/AAAAAAAAAmE/r7-hllOdOXU/s640/DSC_0085.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YCuJeiBz9Ko/VXz-ZlOiIeI/AAAAAAAAAmU/ThAg2UmvXa4/s640/DSC_0088.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v7r9NDM7_nE/VXz-hWHmRrI/AAAAAAAAAmk/u41s70-JGyE/s640/DSC_0093.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xi0_L12e_GQ/VX0CZCW2YDI/AAAAAAAAAs0/NKXEdhC4VIY/s640/DSC_0150.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-72vfc0FES18/VX0Cih6FhvI/AAAAAAAAAtE/1VsN87CFEnI/s640/DSC_0152.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Waziri Nape Nnauye awataka Watanzania kuendelea kumuombea Rais Dk John Pombe Magufuli, kazi ya kutumbua majipu ni ngumu na ina vikwazo vingi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Nape Nnauye aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais Mh. Mama Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi albam mbili za kwaya ya Wakorintho wa Pili kwenye tamasha la Krismas lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana, ambapo mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini Rebecca Malope amefanya onesho kubwa lililovuta hisia za mashabiki wengi waliohudhuria katika tamasha hili akishirikiana na waimbaji mbalimbali...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Almasi adimu yagundulika Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya madini ya Petra Diamonds imegundua aina adimu ya almasi ya rangi ya pinki yenye uzito wa karati 23.16 kutoka mgodi wake wa Williamson uliopo Mwadui, Shinyanga.
Kwa mujibu wa taarifa ya kampuni hiyo ya madini, almasi hiyo ya pinki, moja ya madini ya rangi yanayosakwa zaidi duniani ni mfano wa ubora wa hali ya juu na ugunduzi mkubwa na muhimu zaidi kufanywa na Petra kutoka mgodi huo hadi sasa.
“Almasi za pinki hupatikana katika migodi michache...
10 years ago
Michuzi01 Oct
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Taasisi ya Chakula na Lishe yaelezea umuhimu wa vitamini A watoto
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Elifatio Towo (Katikati) akieleza umuhimu wa vitamini A, Kushoto ni Afisa Lishe Mwandamizi Bi. Neema Joshua na kulia ni Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula Bi. Wessy Meghji.
Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula na Lishe Wessy Meghji akionesha aina ya vyakula ambavyo vinaongeza vitamini A, kushoto ni Elifatio Towo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe.
Upungufu wa vitamini na madini ni mojawapo ya matatizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...