Taasisi ya Chakula na Lishe yaelezea umuhimu wa vitamini A watoto
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Elifatio Towo (Katikati) akieleza umuhimu wa vitamini A, Kushoto ni Afisa Lishe Mwandamizi Bi. Neema Joshua na kulia ni Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula Bi. Wessy Meghji.
Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula na Lishe Wessy Meghji akionesha aina ya vyakula ambavyo vinaongeza vitamini A, kushoto ni Elifatio Towo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe.
Upungufu wa vitamini na madini ni mojawapo ya matatizo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMkutano wa Kilele wa Dunia kuhusu Chakula na Lishe wafunguliwa Arusha
9 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAFANYA TATHMINI YA HALI YA CHAKULA NA LISHE MKOANI SIMIYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ojRNpaSaCwM/VEZODu9Y4XI/AAAAAAAGsOQ/2kk7r3R_MZE/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wafanya biashara wa chakula mkoa wa Dar Es Salaam waanzisha jumuiya ya Mama na Baba lishe!
Baadhi ya akina mamalishe na babalishe wakiwa katika moja ya majumuiko yao (Picha kwa msaada wa mtandao wa Global Publisher.
Na Rabi Hume
Wafanya biashara wa kuuza chakula katika mkoa wa Dar es Salaam wameanzisha jumuiya ya wafanya biashara hao ikiwa na lengo la kuunganisha wafanyabiashara hao, kulinda haki zao na kuzitafutia ufumbuzi wapatapo tatizo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Ramadhani Mhonzu amesema kuwa wameamua kuanzisha jumuiya hiyo ili iweze...
10 years ago
Dewji Blog21 May
JK mgeni rasmi mkutano wa tatu wa Shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika
Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt....
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kuna umuhimu gani kwa wanawake wa Uganda kupiga magoti wakisalimia na kukaribisha chakula
11 years ago
Habarileo03 Aug
Watoto wengi hawana lishe bora
WATAALAMU wa sekta ya afya mkoani Morogoro, wameeleza kuwa watoto wengi wanakabiliwa na uzito pungufu na udumavu, kutokana kukosa lishe bora.
11 years ago
Habarileo11 Aug
Unga wa lishe hatari kwa watoto
MCHANGANYIKO usiozingatia makundi matano ya vyakula, unaotengenezwa na wajasiriamali au nyumbani kwa ajili ya unga wa watoto maarufu ‘Lishe’, una athari za kiafya kwa watoto wachanga na walio chini ya miaka mitano.