Wafanya biashara wa chakula mkoa wa Dar Es Salaam waanzisha jumuiya ya Mama na Baba lishe!
Baadhi ya akina mamalishe na babalishe wakiwa katika moja ya majumuiko yao (Picha kwa msaada wa mtandao wa Global Publisher.
Na Rabi Hume
Wafanya biashara wa kuuza chakula katika mkoa wa Dar es Salaam wameanzisha jumuiya ya wafanya biashara hao ikiwa na lengo la kuunganisha wafanyabiashara hao, kulinda haki zao na kuzitafutia ufumbuzi wapatapo tatizo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Ramadhani Mhonzu amesema kuwa wameamua kuanzisha jumuiya hiyo ili iweze...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/110.jpg)
MAMA, BABA LISHE SACCOS KUZINDULIWA DAR
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mama Lishe na Baba Lishe, Ramadhan Mohanzu, Mshauri wa Jumuiya hiyo, Said Mohamed, Katibu wa Soko la Machinga Dar, Agatha C. Kiluhumo na Katibu wa Soko la Ilala. Wanahabari wakichukua matukio.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMEg3JkJgg/XlpouShYxiI/AAAAAAALgIQ/OhJgsn2PH7cw9EIwIcqX5n0fOr3yr_OJACLcBGAsYHQ/s72-c/98187af8-e45f-4bef-9220-2c2cc6833f3c.jpg)
BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO
Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewahimiza Mama lishe wa Mkoa wa Pwani kurasimisha biashara zao kwa kuzisajili ili waweze kulinda biashara zao na kupata fursa mbalimbali.
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
9 years ago
GPLMAMA, BABA LISHE WASHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Maafisa Afya (CHAMATA) ,Baraka Mhina, aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo Emmanuel Mwandepa (anayezungumza katikati) na Ofisa Afya wa Manispaa ya Ilala, Fatuma Maduhu. Meza kuu ikisikiliza risala iliyokuwa ikisomwa kutoka kwa washiriki wa maadhimisho hayo.…
10 years ago
Michuzi01 Nov
JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA DAR ES SALAAM YAZINDUA DAFTARI LA WANACHAMA WAKE
5 years ago
CCM BlogTANZIA- MAMA WA MWENYEKITI TUGHE MKOA WA DAR ES SALAAM
Mwenyekiti Tughe Mkoa wa Dar es Salaam, Mziwanda Chimwege anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi kilichotokea 21, Februari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo 23, Februari mwili utaondoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Morogoro Wilaya ya Kilosa ambapo mwili utapumzishwa katika nyumba yake ya milele Alasiri ya 23,Februari. Salam ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s72-c/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s320/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
9 years ago
VijimamboMAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO
11 years ago
MichuziMKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AKIZINDUA TAMASHA LA VITABU VYA WATOTO MKOA WA DAR ES SALAAM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania