Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanya biashara wa chakula mkoa wa Dar Es Salaam waanzisha jumuiya ya Mama na Baba lishe!

4.Baadhiyaakinamamalishenababalishewakiwakwenyemaadhimishohayo.Baadhi ya akina mamalishe na babalishe wakiwa katika moja ya majumuiko yao (Picha kwa msaada wa mtandao wa Global Publisher.

Na Rabi Hume

Wafanya biashara wa kuuza chakula katika mkoa wa Dar es Salaam wameanzisha jumuiya ya wafanya biashara hao ikiwa na lengo la kuunganisha wafanyabiashara hao, kulinda haki zao na kuzitafutia ufumbuzi wapatapo tatizo.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Ramadhani Mhonzu amesema kuwa wameamua kuanzisha jumuiya hiyo ili iweze...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAMA, BABA LISHE SACCOS KUZINDULIWA DAR

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mama Lishe na Baba Lishe, Ramadhan Mohanzu, Mshauri wa Jumuiya hiyo, Said Mohamed, Katibu wa Soko la Machinga Dar, Agatha C. Kiluhumo na Katibu wa Soko la Ilala. Wanahabari wakichukua matukio.…

 

5 years ago

Michuzi

BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO

Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewahimiza Mama lishe wa Mkoa wa Pwani kurasimisha biashara zao kwa kuzisajili ili waweze kulinda biashara zao na kupata fursa mbalimbali.

Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.

Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...

 

9 years ago

GPL

MAMA, BABA LISHE WASHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Maafisa Afya (CHAMATA) ,Baraka Mhina, aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo Emmanuel Mwandepa (anayezungumza katikati) na Ofisa Afya wa Manispaa ya Ilala, Fatuma Maduhu. Meza kuu ikisikiliza risala iliyokuwa ikisomwa kutoka kwa washiriki wa maadhimisho hayo.…

 

10 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA DAR ES SALAAM YAZINDUA DAFTARI LA WANACHAMA WAKE

  Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Seif Shaban Mohamed (kushoto) na Katibu wa Jumuia hiyo mkoa wa Dar es Salaam, Ali Cholaje wakionesha daftari hilo baada ya kuzinduliwa. Viongozi wa meza kuu wakipiga makofi wakati wakiimba wimbo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kabla ya kuzindua daftari hilo. Kutoka kulia ni Katibu Msaidizi wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Mohamed Mavela, Mwenyekiti wa Jumuia hiyo, Wilaya ya Ilala,Meritius Mangugu,Katibu wa Jumuia...

 

5 years ago

CCM Blog

TANZIA- MAMA WA MWENYEKITI TUGHE MKOA WA DAR ES SALAAM

       Enzi za Uhai wake

Mwenyekiti Tughe Mkoa wa Dar es Salaam, Mziwanda Chimwege anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi kilichotokea 21, Februari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo 23, Februari mwili utaondoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Morogoro Wilaya ya Kilosa ambapo mwili utapumzishwa katika nyumba yake ya milele Alasiri ya 23,Februari. Salam ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo. 

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO

MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Merck Sadick anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa mwaka  wa 46 wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania utakaofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 4 octoba mwaka huu katika eneo la kitonga, Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaaM.
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO

 Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia  Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam leo. Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
 Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu...

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AKIZINDUA TAMASHA LA VITABU VYA WATOTO MKOA WA DAR ES SALAAM

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa amesimama na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam akiwemo Katibu Tawala Ndugu Theresia Mbando (wa tatu kutoka kulia), Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ndugu Raymond Mushi (wa nne) nje ya jengo la Makumbusho ya Taifa kwa ajili ya kupokea maandamano ya wanafunzi wa shule za msingi za Dar es Salaam wakati wa sherehe ya uzinduzi wa Tamasha la vitabu vya watoto katika Mkoa huo tarehe 12.6.2014. Baadhi ya wanafunzi wa Shule za Msingi mkoani Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani