TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akimpokea Mfalme wa Lesotho, Mhe. Letsie III (kulia) alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Mfalme Letsie ambaye pia ni Kiongozi wa kuhamasisha masuala ya Chakula na Lishe wa Umoja wa Afrika yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Dunia kuhusu umuhimu wa kuongeza Virutubisho kwenye Chakula. Mkutano huo unafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 09 hadi 11 Septemba,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 May
JK mgeni rasmi mkutano wa tatu wa Shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika
Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt....
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
9 years ago
VijimamboMkutano wa Kilele wa Dunia kuhusu Chakula na Lishe wafunguliwa Arusha
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gTrIchdx1Bw/VNMxsCltzJI/AAAAAAAHB4k/XdMom3xAzys/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa Wahasibu
![](http://2.bp.blogspot.com/-gTrIchdx1Bw/VNMxsCltzJI/AAAAAAAHB4k/XdMom3xAzys/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vIEtc_I5T6s/VNMxyCedV7I/AAAAAAAHB4s/s__sQ7vncIo/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-r6IueCwZf3U/VNMx985YLwI/AAAAAAAHB40/E7n9mn1kRHk/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pmN94M7s27Q/VSagw6emRtI/AAAAAAAHP4s/er5Igos2HIY/s72-c/unnamed%2B(73).jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano wa Kimataifa wa Lishe Dar es Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-pmN94M7s27Q/VSagw6emRtI/AAAAAAAHP4s/er5Igos2HIY/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z9_jykisuco/VSagwGVgFbI/AAAAAAAHP4k/V9N5hPrWckY/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iquCSu62bQM/U5n2sf0_wWI/AAAAAAAFqK4/oFp7PnWp1p4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-iquCSu62bQM/U5n2sf0_wWI/AAAAAAAFqK4/oFp7PnWp1p4/s1600/unnamed+(40).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia katika mkutano wa pili wa kimataifa wa lishe na virutubisho (ICN2) Rome Italia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Mkutano wa pili wa Kimataifa kuhusu Lishe na Virutubisho (ICN2) uliofanyika katika ukumbi wa Makao Makuu ya Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) jijini Rome, Italia juzi Novemba 19, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal Novemba 19, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa kuhusu Lishe na Virutubisho...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
MAKAMU WA RAID DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA UNAOJADILI MASUALA YA AMANI BARANI AFRIKA, LEO JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AXTknJIJmEs/VEaZJL6fKVI/AAAAAAAGshY/6kdeBCe_DkI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)