Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia katika mkutano wa pili wa kimataifa wa lishe na virutubisho (ICN2) Rome Italia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Mkutano wa pili wa Kimataifa kuhusu Lishe na Virutubisho (ICN2) uliofanyika katika ukumbi wa Makao Makuu ya Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) jijini Rome, Italia juzi Novemba 19, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal Novemba 19, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa kuhusu Lishe na Virutubisho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zlW8cMMTuzo/VIflvKpGskI/AAAAAAAG2Ts/prU2wEwQqXY/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 20 WA KIMATAIFA KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI (COP 20) UNAOENDELEA JIJI LIMA NCHINI PERU
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa mazingira duniani (Cop20) Jijini Lima, Peru
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam ya Afrika katika masuala ya Majadiliano ya Mabadiliko ya Tabianchi kutoka nchini Sudan, Nagmeldin El-Hassan, wakati alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kuzungumza na wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa Mazingira Duniani (Cop20) unaoendelea jijini Lima, nchini Peru. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa pili wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Mkuu wa pili wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo Feb 5, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Kamishina Mstaafu wa TRA, Harry Kitilya, wakati walipokutana baada ya kufungua rasmi Mkutano Mkuu wa pili wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, uliofanyika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A133jOqr2bM/VPg2U-7TdzI/AAAAAAADbgo/UeczVVQax9M/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA PILI WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-A133jOqr2bM/VPg2U-7TdzI/AAAAAAADbgo/UeczVVQax9M/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cA0P9uvOZZI/VPg2U_bZ78I/AAAAAAADbgs/ZYF0TjoTbsw/s1600/2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QfWZifxBYNU/VPg7NEpso0I/AAAAAAAHHys/zuGRV5LgNk8/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA PILI WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-QfWZifxBYNU/VPg7NEpso0I/AAAAAAAHHys/zuGRV5LgNk8/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9NoiPvmwFug/VPg7NE--UNI/AAAAAAAHHyo/miYLaMmVW-8/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA MISRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K6-IbHlBYsQ/VQKchbqnnGI/AAAAAAAHKCc/ZmbTuJuYy5A/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q2Leo7KfYYs/VQKcfkEyNTI/AAAAAAAHKCQ/UOAasCM2gME/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA CAIRO MISRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCpAuOXcdLI/VQKcg9SRIkI/AAAAAAAHKCY/8q3VDQFqKqs/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K6-IbHlBYsQ/VQKchbqnnGI/AAAAAAAHKCc/ZmbTuJuYy5A/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q2Leo7KfYYs/VQKcfkEyNTI/AAAAAAAHKCQ/UOAasCM2gME/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kKyH66lBvmk/VUEDacjmx3I/AAAAAAAHUIo/kJUqYuoCo0o/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kKyH66lBvmk/VUEDacjmx3I/AAAAAAAHUIo/kJUqYuoCo0o/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3l97HQjZAVs/VUEDbvM3OxI/AAAAAAAHUIg/cg5V_ODdmwo/s1600/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JodR3xKOhFI/VQQnk12nfyI/AAAAAAADcL4/Ec1jYbPVrT0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA KIUCHUMI NA MAENDELEO WA MISRI (EGYPT THE FUTURE).
![](http://1.bp.blogspot.com/-JodR3xKOhFI/VQQnk12nfyI/AAAAAAADcL4/Ec1jYbPVrT0/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6dvVXlpgmQ8/VQQnrir5uNI/AAAAAAADcMU/j86rIfjnTas/s1600/1.jpg)