Tanzania kuwa mwenyeji Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na wageni waliofika ofisini kwake kumjulisha kuhusu Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni lililoandaliwa na Kilimanjaro Dialogue Institute litakalofanyika nchini Tanzania na kuhusisha nchi 18 tarehe 21 na 22 Machi mwaka huu. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, wakwanza kulia ni Bw. Ramadhani Madabida na anayefuata ni Rais wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LosXt2TCj-4/VRAahnYsslI/AAAAAAAHMbY/C6V2uE9E1Tg/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Nchi 19 zashiriki Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-LosXt2TCj-4/VRAahnYsslI/AAAAAAAHMbY/C6V2uE9E1Tg/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uQrb1MBPFpc/VRAahX2LEcI/AAAAAAAHMbg/as8fsypF3oM/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tamasha la 13 la Lugha na Utamaduni
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tamasha la 13 la Lugha na Utamaduni (B)
11 years ago
Michuzi26 Jun
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
TaSUBa watambulisha rasmi Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo
Mwenyekiti wa Kamati kuu wa tamasha la 34 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, Bw. John Mponda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) katika ukumbi wa MAELEZO mapema leo 8.14.2015. Wengine ni Mwalimu Christa Kombo ambaye ni Mwenyekiti wa Maonyesho (kulia) na kushoto ni Bw. Frank Sika ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Majukwaa na Ufundi wa tamasha hilo ambalo linatarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
TAASISI...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Kumekucha tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kufanyika Sept 21-27
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/26.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kuanza rasmi leo
Ratiba Ya Ufunguzi Wa Tamasha 2015 by andrewchale
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 21-27, 2015 WILAYANI BAGAMOYO