MKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
Raisi wa FANUS Prof.Joyce Kinabo,akizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusiana na mkutano wa tatu wa shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika,unaotarajiwa kufanyika Mei 24 hadi 29 jijini Arusha kushoto ni Dkt Joyceline Maganda Kaimu Mkurungenzi Mtendaji ,Taasisi ya Chakula na Lishe.Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO Jiji Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waandishi wa Habari walio hudhuria katika mkutano wa tatu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 May
JK mgeni rasmi mkutano wa tatu wa Shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika
Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt....
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgazVaIOMs/Vc3HIow0gMI/AAAAAAAC9pM/0H877TOC5Ug/s72-c/unnamed.jpg)
Mkutano wa Masuala ya Serikali Mtandao kufanyika jijini Arusha Agosti 17
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgazVaIOMs/Vc3HIow0gMI/AAAAAAAC9pM/0H877TOC5Ug/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
MAKAMU WA RAID DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA UNAOJADILI MASUALA YA AMANI BARANI AFRIKA, LEO JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AXTknJIJmEs/VEaZJL6fKVI/AAAAAAAGshY/6kdeBCe_DkI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
9 years ago
VijimamboMkutano wa Kilele wa Dunia kuhusu Chakula na Lishe wafunguliwa Arusha
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano ya wawakilishi wa kamati ya kudumu ya Umoja wa Afrika (AU) na wataalamu wa Haki na Sheria, Jijini Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Afrika( AU) wakati alipokuwa akiwasili kwenye Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Mashauriano kati ya Wawakilishi wa Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Afrika( AU) na Wataalamu wa Masuala ya Haki na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli hiyo uliokuwa ukijadili kuhusu kuimarisha demokrasi, utawala wa sheria na masuala ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RBlcWY33n9E/VegKwY6BnuI/AAAAAAAH2CY/UilNxCTCK0c/s72-c/01.jpg)
AKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA KAMATI YA KUDUMU YA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA WATAALAMU WA HAKI NA SHERIA, JIJINI ARUSHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RBlcWY33n9E/VegKwY6BnuI/AAAAAAAH2CY/UilNxCTCK0c/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zXtik9t1elo/VegKyDcJQFI/AAAAAAAH2Ck/TflMNUl39y0/s640/05.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA KAMATI YA KUDUMU YA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA WATAALAMU WA HAKI NA SHERIA, JIJINI ARUSHA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rycGlnSqnHA/VBgaqUi6k9I/AAAAAAAGj5M/OvkGi1coThc/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA AFRIKA KUHUSU MASUALA YA USIMAMIZI WA KODI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rycGlnSqnHA/VBgaqUi6k9I/AAAAAAAGj5M/OvkGi1coThc/s1600/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano mkuu wa tatu wa Afrika kuhusu masuala ya usimamizi wakodi uliofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 16, 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9qUBVDltHDU/VBgaswVLgCI/AAAAAAAGj5s/KuvIm9EaP3s/s1600/3.jpg)