Mkutano wa Kilele wa Dunia kuhusu Chakula na Lishe wafunguliwa Arusha
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda akihutubia kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa unahusu masuala ya Lishe na Chakula uliofanyika jijini Arusha.
Mhe. Pinda akihutubia
Mfalme wa Lesotho Mhe. Letsie III ambaye nae alihudhuria mkutano huo akihutubia wadau mbalimbali na wageni waalikwa walioshiriki katika mkutano huo (hawapo pichani).
Balozi wa Tanzania anayeiwakilisha nchini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s72-c/P%2B1.jpg)
MKUTANO WA MWAKA WA WATAALAMU WA MANUNUZI NA UGAVI WAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s640/P%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ts1PxFz7NYQ/VmWfOxG1FSI/AAAAAAAAFHw/_oCatwEjG9k/s640/P2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 May
JK mgeni rasmi mkutano wa tatu wa Shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika
Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt....
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Taasisi ya Chakula na Lishe yaelezea umuhimu wa vitamini A watoto
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Elifatio Towo (Katikati) akieleza umuhimu wa vitamini A, Kushoto ni Afisa Lishe Mwandamizi Bi. Neema Joshua na kulia ni Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula Bi. Wessy Meghji.
Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula na Lishe Wessy Meghji akionesha aina ya vyakula ambavyo vinaongeza vitamini A, kushoto ni Elifatio Towo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe.
Upungufu wa vitamini na madini ni mojawapo ya matatizo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l8OxnkeTWjk/VQKKZMbvnFI/AAAAAAAHJ_E/D0kjx7GGl50/s72-c/Untitled.png)
UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KUHUSU STADI NA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-l8OxnkeTWjk/VQKKZMbvnFI/AAAAAAAHJ_E/D0kjx7GGl50/s1600/Untitled.png)
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-75mvVqg3r0s/VC5k9DtOIFI/AAAAAAADG3w/OijJeE3ahKk/s72-c/DSC06908.jpg)
MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO WAFUNGULIWA RASMI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo, Balozi (Mstaafu) Dkt....
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA DICOTA WAFUNGULIWA RASMI MJINI DURHAM