MKUTANO WA MWAKA WA WATAALAMU WA MANUNUZI NA UGAVI WAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s72-c/P%2B1.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wataalamu wa Manunuzi na Ugavi nchini(PSPTB)Dk Hellen Bandiho akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Wataalamu unaofanyika kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa AICC jijini Arusha na kusisitiza miiko ya uadilifu katika manunuzi ya umma na sekta binafsi.
Mjumbe wa Bodi ya Wataalamu wa Manunuzi na Ugavi nchini(PSPTB)Ahmed Kilima akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Wataalamu unaofanyika kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa AICC...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i7f52u0q10o/VH3C6-OLF4I/AAAAAAAG0yw/PYqWsY6XLEk/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AFUNGUA MKUTANO WA WATAALAMU WA UGAVI JIJINI ARUSHA
WIZARA ya Fedha, imeitaka Bodi ya Wataalam wa Ugavi na Manunuzi nchni (PSPTB), kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha na kuwataka waajiri kuacha mara moja kuwaajiri watu wasio na sifa kufanya kazi hizo
Naibu Waziri wa Fedha,Adam Malima ametoa kauli hiyo leo wakati akifungua mkutano wa tano wa mwaka wa Siku mbili unaofanyika kwenye jengo la Mikutano la AICC jijini Arusha ambapo aliwataka Wataalamu hao kuzingatia maadili...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Mkutano wa pili wa mwaka wa Kimataifa wa wataalamu wa kudhibiti Mbu wafunguliwa rasmi leo jijini DAR
Mwele Malecela akifungua mkutano huo wa pili wa mwaka wa kimataifa wa wataalam
wa kudhibiti Mbumbu kwa Nchi zisizofungamana Afrika (PAMCA) ulioanza leo jijini
Dar es Salaam.
Afrika. Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa PAMCA ulifanyika jijini Nairobi Kenya 2014. Dk Malecela amesema kuwa mkutano huu unakutanisha wataalam wa...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7JucV7hi0CY/VecxLlopCMI/AAAAAAAAEuA/2taKPhwXi0E/s72-c/B%2B1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AKAGUA MABANDA KWENYE MKUTANO WA MAMLAKA YA MANUNUZI(PPRA)JIJINI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7JucV7hi0CY/VecxLlopCMI/AAAAAAAAEuA/2taKPhwXi0E/s640/B%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oiiARhHuTDg/VeczR6ZVT8I/AAAAAAAAEuM/5o3uKLRYvew/s640/B%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziMKUTANO WA PILI WA MWAKA WA KIMATAIFA WA WATAALAM WA KUDHIBITI MBU WAFUNGULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano ya wawakilishi wa kamati ya kudumu ya Umoja wa Afrika (AU) na wataalamu wa Haki na Sheria, Jijini Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Afrika( AU) wakati alipokuwa akiwasili kwenye Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Mashauriano kati ya Wawakilishi wa Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Afrika( AU) na Wataalamu wa Masuala ya Haki na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli hiyo uliokuwa ukijadili kuhusu kuimarisha demokrasi, utawala wa sheria na masuala ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RBlcWY33n9E/VegKwY6BnuI/AAAAAAAH2CY/UilNxCTCK0c/s72-c/01.jpg)
AKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA KAMATI YA KUDUMU YA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA WATAALAMU WA HAKI NA SHERIA, JIJINI ARUSHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RBlcWY33n9E/VegKwY6BnuI/AAAAAAAH2CY/UilNxCTCK0c/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zXtik9t1elo/VegKyDcJQFI/AAAAAAAH2Ck/TflMNUl39y0/s640/05.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA KAMATI YA KUDUMU YA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA WATAALAMU WA HAKI NA SHERIA, JIJINI ARUSHA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s640/1.jpg)