Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema Katiba Inayopendekezwa imebeba mambo yote muhimu na hata kama yakifanyika maandamano nchi nzima haitabadilishwa hata nukta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu au mbili zipo hata sasa ndani ya Katiba

Reading, Uingereza. Katiba, katiba katiba. Huu ndiyo wimbo ulioko katika midomo ya Watanzania walio wengi. Na ni kati ya kitu ambacho kimeonekana kuwaweka Watanzania pamoja kuliko kitu kingine nilichowahi kusikia. 

 

9 years ago

Raia Mwema

Hata Lowassa naye?

JUMAMOSI iliyopita, Edward Lowassa, aliwakuna Wazanzibari.

Ahmed Rajab

 

9 years ago

Raia Mwema

Hata kama ni jiwe tutalichagua!

KURA za maoni zilizotolewa kuonyesha Dk.

Privatus Karugendo

 

10 years ago

Mwananchi

Hata mnyama anaona soni

Soni inaelelzwa ni ‘aibu, haya’, yaani tabia au hali ya mtu kuogopa maovu au aibu yake isijulikane na watu.  Fedheha, hali ya kusitasita kusema au kufanya jambo kwa sababu ya kumheshimu mtu mwingine.  Hali ya kutoweza kumwangalia au kuangalia mtu machoni.  

 

10 years ago

Mwananchi

Inasikitisha, inashindikana hata waamuzi

Fainali za Afrika zinakaribia kumalizika. Kwa sasa zinaingia hatua ya nusu fainali baada ya kumalizika kwa mechi za mkondo wa robo fainali ya pili jana.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO :Tunapamba hata wasiopambika

Hebu niwakumbushe. Mwaka 1981 iliyokuwa Soviet ilipata shida kwenye Umoja wa Mataifa (UN) kuamua nani awe katibu mkuu wa chombo hicho, kati ya mwanadiplomasia wa Austria, Kurt Waldheim aliyekuwa anawania kipindi cha tatu na mwanadiplomasia wa Tanzania, Dk Salim Ahmed Salim.

 

10 years ago

GPL

HATA UWEJE, WABONGO WATAHOJI!

Hakuna aliyekuwa hamfahamu jamaa yangu pale mtaani kwetu. Jamaa alikuwa smat ile mbaya. Alikuwa anajua kuchagua nguo za kuvaa, na viatu vya kumechi, kisha nywele zake safi kila Jumamosi mchana lazima utamkuta saluni anatengeneza nywele, uso anaskrab, swafi sana. Hata siku hizi za mvua utadhani anajua kukwepa matone ya mvua, yaani we acha tu. Wanaume wenzie walikuwa wakiha-dithiana jinsi jamaa alivyo msafi, maana hata kwake...

 

10 years ago

Mwananchi

Hata 2015 tutakuwa wasindikizaji

Vyama vya michezo nchini mara kwa mara katika dakika za mwisho mwisho vimekuwa vikitafuta fedha kwa ajili ya kuwaweka kambini wanamichezo wao yanapokaribia mashindano ya kitaifa au kimataifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hata Kikwete alinunua watu

SIKUBALIANI na Rais Jakaya Kikwete kukemea wanasiasa wenzake ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ‘wanaonunua watu’ ili waweze kufanikisha malengo yao kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015. Vyombo vya habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani