Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hata Lowassa naye?

JUMAMOSI iliyopita, Edward Lowassa, aliwakuna Wazanzibari.

Ahmed Rajab

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KHADJA: NILIYEZAA NAYE, SITAKI HATA KUMSIKIA

LEO kupitia safu hii tunaye staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’. Naye kama kawaida alibanwa na Mwandishi Wetu Shani Ramadhani kwa maswali 10 na bila hiyana alitoa ushirikiano katika kuyajibu.
Unajua aliulizwa nini na akajibu vipi? Ungana nami hapa chini. Staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’. Ijumaa: Changamoto zipi unazozipata kupitia kazi yako ya muziki?
Khadja:...

 

11 years ago

GPL

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 2

UMBALI katika uhusiano, mara nyingi husababisha hofu. Fikra za usaliti hutawala sana kwa wenzi wanaoishi mbali. Lakini vipi, mwenzako asisafiri au asiishi mbali kwa kuhofia hayo wakati kitendo hicho kinasababishwa na jukumu la kikazi? Ndugu zangu, baadhi yetu, kama hatutakuwa makini, umbali huweza kuchochea usaliti. Lakini kuna njia ambazo zikitumika kwa usahihi, husaidia kuliweka penzi hai na kuzidi kuwa na mshawasha mkubwa....

 

11 years ago

GPL

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 3

TUNAENDELEA kujifunza mbinu za kumsogeza mwenzi wako karibu. Tumeshaona mengi katika matoleo yaliyopita. Rafiki zangu, wakati mwingine majukumu ya kikazi husababisha wenzi au wanandoa wakaa mbalimbali. Jambo hilo huwa changamoto kubwa sana kwa wengi, hushindwa kujua namna ya kuboresha uhusiano wao ili waweze kuendelea kuwa na uhusiano wenye nguvu. Katika matoleo yaliyopita tuliona jinsi mwanamke anavyoweza kufanya kwa mwanaume...

 

9 years ago

Vijimambo

Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana


Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE

Na  Bashir  Yakub.Suala   la  matunzo  haliishi  tu kwa  mtoto/ watoto.  Wengi  wa  wanaume wamekuwa  wakipendelea  kuwajibika  kwa  kutoa  matunzo  ya  watoto  na  kumuacha  mwanamke.  Jambo  hili  si  sawa  na  halikubaliki  kisheria. Ni  vema  kufahamu    kuwa  suala  la matunzo  kwa  mwanamke  limegawanyika   mara  nne.  Kwanza   kuna  matunzo  kipindi  ambacho  ni  cha  ndoa  ambapo  hakuna  mgogoro  wowote  baina  ya  wanandoa. Pili  kuna  matunzo  kwa  mwanamke  kipindi  ambacho...

 

9 years ago

GPL

EDWARD LOWASSA NAYE APIGA KURA YAKE HUKO MONDULIlo

Mgombea Urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa na mke wake Mama Regina Lowassa wakishiriki zoezi la uchaguzi mkuu kwa kupiga kura zao leo huko Monduli mkoani Arusha.

 

9 years ago

Vijimambo

EDWARD LOWASSA NAYE APIGA KURA YAKE HUKO MONDULI

Mgombea Urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa na mke wake Mama Regina Lowassa wakishiriki zoezi la uchaguzi mkuu kwa kupiga kura zao leo huko Monduli mkoani Arusha.

 

9 years ago

Vijimambo

MCHUNGAJI MTIKILA AIBUKA NA KIHOJA HIKI LEO,NAYE AUNGANA NA LIPUMBA NA SLAA KUIMBA WIMBO WA LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA


NA KAROLI VINSENTMWENYEKITI wa cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kihoja pale alipowataka Watanzania siku ya kupiga kura tarehe 25 octoba mwaka huu kutoipigia kura kipengele cha Urais na wataka watanzaniakuwachagua wabunge na Madiwani peke yake,kwakuwa wagombea wote wa urais waliosiamishwa kwenye vyama vayo hawana uwezo wa kuliongoza taifa hili.Kauli ya hiyo ya Mchangaji Mtikila ameitoa leo Jijini Dar es Saalam wakati wa mkutano na waandishi wa Habari ambapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema Katiba Inayopendekezwa imebeba mambo yote muhimu na hata kama yakifanyika maandamano nchi nzima haitabadilishwa hata nukta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani