EDWARD LOWASSA NAYE APIGA KURA YAKE HUKO MONDULIlo
![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7Wnd9wRZzvA*KV0dTOc2FepKyivdrOLCDXFDZzRLreiFZ1e-Fy5ev-jTKbQJ6zUwthUa8PU9ZR8pNEz0aXercJUBC/lowassa.jpg)
Mgombea Urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa na mke wake Mama Regina Lowassa wakishiriki zoezi la uchaguzi mkuu kwa kupiga kura zao leo huko Monduli mkoani Arusha.
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo25 Oct
EDWARD LOWASSA NAYE APIGA KURA YAKE HUKO MONDULI
![](http://api.ning.com/files/TJP9R5X7Wnd9wRZzvA*KV0dTOc2FepKyivdrOLCDXFDZzRLreiFZ1e-Fy5ev-jTKbQJ6zUwthUa8PU9ZR8pNEz0aXercJUBC/lowassa.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-NkUVkZUtc8k/VnDAEhIx51I/AAAAAAAAXdQ/hxnQy9uNFZ8/s72-c/8-chadema.jpg)
MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUFANYA ZIARA YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA
KUHUSU ZIARA YA MH. EDWARD LOWASSA KUSHUKURU WATANZANIA
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari na umma wa Watanzania kwa ujumla kuwa aliyekuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Ndugu Edward Lowassa atazungumza na wananchi wa Tanga katika mkutano wa hadhara utakaofanyika mjini Tanga, siku
11 years ago
MichuziBALOZI LIBERATA MULAMULA APIGA KURA YAKE DMV
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCV6O6VKkHwc4eD6IHgVsneag5D66z2q1uEY*0DRwt6npYpF0wk16iPLurBom2tDPmdWv4rwokreR5T5Pv3SDRmc5FDjcPzX/MaxmillianLyimotlp.jpg?width=650)
HATIMAYE MGOMBEA URAIS TLP APIGA KURA YAKE
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Maximillian Lyimo. Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Maximillian Lyimo hatimaye amepiga kura yake katika Kituo cha Njia Panda, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro. Awali Mhe. Lyimo alishindwa kupiga kura baada ya kukosekana taarifa zake kituoni hapo. Lyimo aliyejiandikishia mkoani Dar es Salaam, jana alienda kufunga kampeni zake Jimbo la Vunjo na kulala...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kpOjkrjiWI0/Vi0tkqKt9ZI/AAAAAAAICxk/XOYnLdY2YDc/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
ZITTO KABWE APIGA KURA YAKE KIGOMA MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kpOjkrjiWI0/Vi0tkqKt9ZI/AAAAAAAICxk/XOYnLdY2YDc/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
11 years ago
GPLBALOZI LIBERATA MULAMULA APIGA KURA YAKE DMV
 Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwasili kwenye kituo cha kupigia kura katika uchaguzi wa DMV Wheaton, Maryland nchini Marekani hapa Mhe. Liberata Mulamula akilakiwa na mgombea makamu wa Urais Bi. Salma Moshi na Bwn. Idd Sandaly, Rais wa Jumuiya ya Watanzania anyaemaliza muda wake na ambaye pia anagombea tena nafasi hiyo. Mhe. Libarata Mulamula akisalimiana na kampeni… ...
10 years ago
Vijimambo26 May
Dakika tatu na Edward Lowassa>> Urais 2015, kuhama Chama, Elimu TZ.. Afya yake na Ujumbe wake kwa CCM
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/lowassa2.jpg?resize=550%2C367)
Moja ya story kubwa kwenye siasa za TZ wiki iliyopita ilikuwa ishu ya CCM kuwafungulia makada wake sita ambao walikiuka kanuni za chama hicho kwa kutangaza kugombea Urais mapema kinyume na utaratibu wa chama hicho, mmoja ya waliokuwa wamefungiwa ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa.Jana kulikuwa na stori ya Naibu Waziri Mwigulu Nchemba kutangaza kugombea Urais wa TZ kupitia CCM.. leo Mbunge Edward Lowassa ameongea kuhusu mambo kadhaa ikiwemo hali ya afya yake,...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania