MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUFANYA ZIARA YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NkUVkZUtc8k/VnDAEhIx51I/AAAAAAAAXdQ/hxnQy9uNFZ8/s72-c/8-chadema.jpg)
KUHUSU ZIARA YA MH. EDWARD LOWASSA KUSHUKURU WATANZANIA Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari na umma wa Watanzania kwa ujumla kuwa aliyekuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Ndugu Edward Lowassa atazungumza na wananchi wa Tanga katika mkutano wa hadhara utakaofanyika mjini Tanga, siku
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-DJhqsm4jz7w/Viq4Nid9L7I/AAAAAAAAW0Q/hseWBkCDOzE/s72-c/10462373_409654202560517_130201389722769838_n.jpg)
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Lowassa kuanza ziara ya kuwashukuru wananchi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kuwashukuru Watanzania waliompigia kura wakati wa uchaguzi mkuu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, ilisema katika ziara hiyo Lowassa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-npwbUKom_a0/ViW2jJQf9mI/AAAAAAAAWrI/ufhK6pnVHIk/s72-c/12112210_1044600588926118_2943242378101015355_n.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-iOLnPc93sEE/VihAMvlhWdI/AAAAAAAAWu0/3YjOQrmLn9I/s72-c/1976977_409232572602680_9086979441992886989_n.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/c8adcYnIulQ/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-LKDQ0qSDKtU/VicKp5P0btI/AAAAAAAAWsQ/BGDwvDhstSE/s72-c/IMG-20151019-WA0153.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-C_75EIH6Bs4/ViBCPgbzZcI/AAAAAAAAWfk/Zei4guAAE5Y/s72-c/OTH_4108.jpg)
9 years ago
CHADEMA BlogKAULI YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUPINGA MATOKEO YANAYOENDELEA KUTANGAZWA NA NEC