HATIMAYE MGOMBEA URAIS TLP APIGA KURA YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/zCV6O6VKkHwc4eD6IHgVsneag5D66z2q1uEY*0DRwt6npYpF0wk16iPLurBom2tDPmdWv4rwokreR5T5Pv3SDRmc5FDjcPzX/MaxmillianLyimotlp.jpg?width=650)
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Maximillian Lyimo. Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Maximillian Lyimo hatimaye amepiga kura yake katika Kituo cha Njia Panda, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro. Awali Mhe. Lyimo alishindwa kupiga kura baada ya kukosekana taarifa zake kituoni hapo. Lyimo aliyejiandikishia mkoani Dar es Salaam, jana alienda kufunga kampeni zake Jimbo la Vunjo na kulala...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Mhe Maximillian Lyimo apiga kura Vunjo
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/U9Phmn0SvgZRqxNMpuRV6u_G-Hg-EH6QW2YsdKBVviwZIV0vfLb0apq-l5Zb6FInX7J1gsYRPIUbx8bUcrqUtA2WwrcDY8aAKqhg9IPeifD9PTZdQiHExYCjw4aGwUPJBBwrTH6qL7Nx9Pt3qp4Bo7bDMIh_-eEW3iQx1YAIFcHkY2J2pyWiUjtJdklpovxrpo_5VmqYPz2SOhtd0ZGxp-mWCzn76kEamd5p_BeET6WOGw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/zCV6O6VKkHwc4eD6IHgVsneag5D66z2q1uEY*0DRwt6npYpF0wk16iPLurBom2tDPmdWv4rwokreR5T5Pv3SDRmc5FDjcPzX/MaxmillianLyimotlp.jpg?width=650)
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Mhe. Maximillian Lyimo hatimaye amepiga kura yake katika Kituo cha Njia Panda, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, baada ya mambo kuwekwa sawa. Awali Mhe. Lyimo alishindwa kupiga kura baada ya kukosekana taarifa zake kituoni hapo.Mhe Lyimo aliyejiandikishia mkoani Dar es Salaam, jana alienda kufunga kampeni zake Jimbo la Vunjo na kulala huko. Asubuhi ya leo...
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Mgombea urais TLP azuiwa kupiga kura
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCV6O6VKkHxe17R-D0KbKYD4jzKVxh-etrkKEdANXQgFXipxogflBpjooX1u5R0i-uy284J2FnaqJz8si-6dQ8eSkATakLSy/luo1.jpg?width=650)
MGOMBEA URAIS TLP ASHINDWA KUPIGA KURA
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, apiga kura Singida mjini
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,akihakiki jina lake kwenye ubao wa matangazo muda mfupi kabla hajapiga kura kwenye kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida leo.
Mgombea urais kupitia ACT- Wazalendo, Anna Mughwira, akipiga kura kuchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Mughwira ameseme endapo wapiga kura wataamua kuchagua chama ambacho kimenadi sera zake kwenye kampeni, anauhakika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli apiga kura chato
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OFgHg5NzQtY/ViyX9ZrQ2iI/AAAAAAAICrg/NzIT65s9c6Y/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ANrd8nMjfwA/Vi0x9oCluMI/AAAAAAAICyc/tqlnuLhnAQo/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mgombea urais TLP kunguruma Dar kesho
CHAMA cha Tanzania Labour (TLP) kinatarajia kuzindua kampeni zake kitaifa kesho katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.
5 years ago
MichuziMkutano Mkuu wa TLP kumpitisha Mgombea Urais Dkt. John Pombe Magufuli wa CCM.
Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kuwa Mkutano mkuu wa chama hicho utaofanyika Mei 9 mwaka huu Kitapitisha Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Chama hicho Agustino Latonga Mrema amesema kuwa jina Mgombea Urais lilisgapitishwa na Halmashauri Kuu Chama na kilichobaki ni kudhibitisha jina la Mgombea huyo.
Amesema kuwa katika uchaguzi mkuu hakuna haja ya kuweka Mgombea...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kpOjkrjiWI0/Vi0tkqKt9ZI/AAAAAAAICxk/XOYnLdY2YDc/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
ZITTO KABWE APIGA KURA YAKE KIGOMA MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kpOjkrjiWI0/Vi0tkqKt9ZI/AAAAAAAICxk/XOYnLdY2YDc/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)