EDWARD LOWASSA NAYE APIGA KURA YAKE HUKO MONDULI
Mgombea Urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa na mke wake Mama Regina Lowassa wakishiriki zoezi la uchaguzi mkuu kwa kupiga kura zao leo huko Monduli mkoani Arusha.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7Wnd9wRZzvA*KV0dTOc2FepKyivdrOLCDXFDZzRLreiFZ1e-Fy5ev-jTKbQJ6zUwthUa8PU9ZR8pNEz0aXercJUBC/lowassa.jpg)
EDWARD LOWASSA NAYE APIGA KURA YAKE HUKO MONDULIlo
Mgombea Urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa na mke wake Mama Regina Lowassa wakishiriki zoezi la uchaguzi mkuu kwa kupiga kura zao leo huko Monduli mkoani Arusha.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
10 years ago
Mwananchi11 May
UCHAGUZI CCM 2015: Edward Lowassa: Mbunge wa Monduli
>Edward Lowassa alizaliwa Agosti 26, 1953 katika Kijiji cha Ngarash, Monduli na ndiye mtoto mkubwa wa kiume kwa Mzee Ngoyai Lowassa (atafikisha miaka 62 Agosti mwaka huu). Alianza kusoma katika Shule ya Msingi Monduli kati ya mwaka 1961–1967.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wA1HC18z8_8/U9OVw9YXu1I/AAAAAAABEIY/FNIGnRdhi8Q/s72-c/IMG-20140726-WA0005.jpg)
MH. EDWARD LOWASSA AWAANDALIWA FUTARI WAUMINI WA KIISLAM WILAYANI MONDULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wA1HC18z8_8/U9OVw9YXu1I/AAAAAAABEIY/FNIGnRdhi8Q/s1600/IMG-20140726-WA0005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fX-xeow1dfc/U9OVss87UZI/AAAAAAABEHw/yAMb3r7HJo4/s1600/IMG-20140726-WA0001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KMfSyghxUxA/U9OVxZTruKI/AAAAAAABEIc/Hz7G59pkowI/s1600/IMG-20140726-WA0004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TmLFdgE_sRY/U9OVxSJ4Y8I/AAAAAAABEIU/53tfN0WaIWM/s1600/IMG-20140726-WA0006.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rn_XDfyKQY0/VJv5Ff62NrI/AAAAAAADK0I/_SVwSzbGSM8/s72-c/sara.jpg)
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Ahudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-rn_XDfyKQY0/VJv5Ff62NrI/AAAAAAADK0I/_SVwSzbGSM8/s1600/sara.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_kuHutEYpsU/VJv47Ns2bAI/AAAAAAADKzw/K3ZWYfOU-Yg/s1600/somabiblia.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xCU5_Aja6U8/VJv404M4WrI/AAAAAAADKzo/7O-ZiF7DFwg/s1600/ibadayaxmass.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
10 years ago
GPLALHAJ ALI HASSAN MWINYI NA MHE. EDWARD LOWASSA KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 20 YA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MAASAI, MONDULI
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai, Jumamosi,24 January Monduli Mlimani, kata ya Engutoto. Rais mstaafu wa awamu ya pili Al hadji Ali Hassan Mwinyi… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania