Hata Kikwete alinunua watu
SIKUBALIANI na Rais Jakaya Kikwete kukemea wanasiasa wenzake ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ‘wanaonunua watu’ ili waweze kufanikisha malengo yao kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015. Vyombo vya habari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Mimi ndiye rais wa awamu ya tano, stishwi na mafuriko, hata Papa John II watu walifurika kumwona
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza na waandishi wa habari wa Star TV, TBC na ITV juu ya hali ya kampeni ilivyo hadi sasa.(PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, SINGIDA
ZIKIWA zimebaki siku 27 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, Hashim Rungwe, ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta
11 years ago
Michuzi29 May
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kikwete ni rais wa watu milioni tano?
RAIS Jakaya Kikwete na Jaji Joseph Warioba wamejibizana kijanja, na wamenikumbusha mchuano wa urais mwaka 2005. Nikakumbuka jinsi Jaji Warioba alivyokuwa shabiki wa Dk. Salim Ahmed Salim, aliyekuwa anawania urais...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Ne77-EYD2nw/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnyYWLLgT194djmtV*SwzKa7iO-uFbZ471MuOZzndKx5OM0YY7t3-tbtgHIub4ByN10jmM-JPL9ziq2VB0--ZkB/RAISJK2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA RIPOTI YA MGAWANYIKO WA WATU KWA UMRI NA JINSI LEO IKULU, DAR
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Rais Kikwete aomboleza vifo vya watu 18 kufuatia ajali iliyotokea eneo la Pandambili, Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai, 2014 katika eneo la Pandambili, Wilayani Kongwa na kuua watu wapatao 18.
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia rambirambi zake za dhati kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mpBrbnQSzwA/VXv_vOtxZaI/AAAAAAAHfKg/X-EpQfHUemw/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU WENYE ALBINISM DUNIANI LEO JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mpBrbnQSzwA/VXv_vOtxZaI/AAAAAAAHfKg/X-EpQfHUemw/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na baadhi ya watoto wenye albinism mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Sheikh amri Abeid mjini Arusha leo ambapo aliongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albinism Duniani leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-FI1O0OVJbJ0/VXv_uyD3kOI/AAAAAAAHfKc/vIM5DJo_iTw/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)