Inasikitisha, inashindikana hata waamuzi
Fainali za Afrika zinakaribia kumalizika. Kwa sasa zinaingia hatua ya nusu fainali baada ya kumalizika kwa mechi za mkondo wa robo fainali ya pili jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-UxXKF4XDpCY/VaapjELLiRI/AAAAAAAB1kI/U8mib7yORKs/s72-c/11755689_925672174122773_5767305545961527589_n.jpg)
KWELI INASIKITISHA NA KUTAKISHA TAMAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UxXKF4XDpCY/VaapjELLiRI/AAAAAAAB1kI/U8mib7yORKs/s640/11755689_925672174122773_5767305545961527589_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YJecmVZQjsU/VaaqDk-__cI/AAAAAAAB1kY/Ysvjo--pcCI/s640/11141198_893484764008181_4768830239767587997_n.jpg)
Kwa kweli inasikitisha saana kwa abiria wetu kuanza kufanya uharibifu namna hii kwa maksudi..
Hizi boti ni kwaajili yenu abiria na kuvitunza na kuvilinda ni majukumu yetu sote!
Tunaomba ushirikiano wenu katika hili na kutoa report kwa baharia au nahodha mtu anaopoona vitu kama hivi vikitokea-Zanzinews
10 years ago
Bongo Movies03 Dec
INASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkewe.
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 15 mwaka huu itakapotajwa tena.
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHd-iHCFsLaxSgYRVJpmlFfr2W1dhaqoEqaVg5QofQ8Qf*rN8HkDwecQ2d8t8EXBCRECRjvflzolp1SZA6MrW5J/bwawa.jpg?width=650)
UNDANI VIFO VYA WATOTO 3 NDANI YA BWANA INASIKITISHA!
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
INASIKITISHA...!!! Wezi wamliza florah mvungi. Hichi ndicho walichomfanyia. tazama hapa
Mwanadada Florah Mvungi amekumbwa na dhahama ya aina yake baada ya wezi ambao hawajapatikana mpaka sasa kuvunja kioo cha gari yake na kumuibia laptop yake na flash yake iliyokuwa na wimbo mpya wa mumewe H-Baba na kisha kuamua kuuvujisha wimbo huo kama alivyoelezea mwanadada huyo akionesha picha ya gari yake hiyo ilivyunjwa kioo hapo juu.
‘’…My car jamani ndo kwanza ina about a month since iingie mume wangu katoka nayo wamevunja wameiba laptop yake.flash yenye nyumbo zake yaani these...
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
INASIKITISHA SANA: Hiki kitendo alichofanyiwa WASTARA na baadhi mashabiki wake si uungwana
“…Nilitukanwa sana jana kwa kuwish wenzangu kheri ya xmass na kuonekana sina dini... Niseme kitu kimoja wasanii kwenye mitandao hatupo kwa ajili ya kutangaza dini tupo kwa ajili ya kutangaza kazi zetu na kuwa karibu na nyinyi mashabiki wetu.
Pili kazi yangu hainunuliwi na watu wa dini moja tu mi nafikiri uvivu wa kufikiri na wepesi wa kusahau kuwa msanii ni nani ndio unawafanya maneno mengi yawatoke, mi msanii sio mwana zuoni msinivike taji lisilo kuwa langu, kama mahodari wa kufundisha...
10 years ago
Bongo Movies16 Apr
INASIKITISHA SANA: Mwanadada LULU afiwa na mpenzi wake LEO siku ya birthday yake
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwanadada Elizabeth Michael – LULU ambaye leo anatimiza miaka 20 ya kuzaliwa amepata piga jingine baada ya kufiwa na mpezi wake aliyefahamika kwa jina la Seki (Pichani) aliyekuwa akiishi jijini Mwanza.
Badi hatujapata taarifa kamili juu ya sababu ya kifo chake ila tutaendelea kuwajulisha pindi zitakapotufikia.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Pole sana Lulu. Mungu akutie nguvu.