Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hata 2015 tutakuwa wasindikizaji

Vyama vya michezo nchini mara kwa mara katika dakika za mwisho mwisho vimekuwa vikitafuta fedha kwa ajili ya kuwaweka kambini wanamichezo wao yanapokaribia mashindano ya kitaifa au kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema Katiba Inayopendekezwa imebeba mambo yote muhimu na hata kama yakifanyika maandamano nchi nzima haitabadilishwa hata nukta.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusipowekeza katika michezo, tutaishia kuwa wasindikizaji

MASHINDANO ya Umoja wa Michezo wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) ya mwaka huu, yalifikia tamati mwishoni mwa wiki mjini Kibaha, Mkoani Pwani. Katika mashindano hayo, kanda ya mashariki imeibuka...

 

10 years ago

Michuzi

IKULU NI ZAMU YANGU WENGINE WASINDIKIZAJI - MONICA MBEGA

Na  Matukiodaima Blog
WAKATI mbio za makada  wa chama  cha mapinduzi (CCM)  waliotia nia ya  kuomba  kuteuliwa  kuwa wagombea wa nafasi za urais zikiendelea  kushika kasi kwa  kila mgombea kutumia mbinu yake ya  kuwafikia wana CCM kuomba udhamini , aliyekuwa mbunge wa  jimbo la Iringa mjini Monica Mbega leo  ameingia wilaya ya Iringa mjini mkoani hapa  kuomba udhamini na kupata  wajumbe 33  huku akiwataka  watanzania kutoaminishwa na mbwembwe  za  watia nia wenzake wanazofanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Monica Mbega: Ikulu ni zamu yangu wengine wasindikizaji

1

Aliyekuwa  mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini Monica Mbega  akionyesha fomu yenye orodha ya wana CCM  33 wa mkoa  wa Iringa waliomdhamini katika  safari  yake ya  kuomba kuteuliwa  kuwa mgombea Urais wa Jamahuri ya  Muungano wa Tanzania  kupitia CCM jana mjini Iringa (picha na Francis Godwin). 3 Monica  Mbega (kulia) akifurahi pamoja na wana CCM Iringa mjini ambao  walijitokeza kumdhamini  kuwa mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM (picha na Francis Godwin). 01 Naibu  meya wa Manispaa ya ...

 

10 years ago

Mwananchi

Bila kuondoa kasoro chaguzi Serikali za Mitaa, wapinzani ni wasindikizaji tu

Tukio kubwa linalotazamwa kwa umakini na wanasiasa wa Tanzania hivi sasa, ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Tutakuwa wawazi uchimbaji mafuta

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageKUTOKANA na Sekta ya Nishati, Gesi na Mafuta kuwa sekta muhimu inayotupiwa macho kama eneo nyeti la uwekezaji, serikali imesema huu ni wakati wa kuwaweka Watanzania na wadau wazi kila mmoja afanye kazi yake kulingana na uwezo wa taaluma yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tutakuwa nchi ya walalamikaji mpaka lini?

JUZI Naibu Spika, Job Ndugai, aliitaka Serikali kushughulikia suala la mauaji ya Kiteto yanayotokea mara kwa mara kiasi cha kulifananisha eneo hilo na nchi ya Somalia. Somalia ni miongoni mwa...

 

10 years ago

Habarileo

CCM: Tutakuwa makini uteuzi wabunge

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishi, utazingatia yale yaliyofanyika katika uteuzi wa mgombea wao wa urais, na kusisitiza kuwa kuongoza kura za maoni sio mwisho wa safari, bali kigezo cha kuelekea katika uteuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mourinho: Tutakuwa bora kwa miaka 10

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho anaamini kuwa timu yake itakuwa moto wa kuotea mbali kwa miaka 10 ijayo katika Ligi Kuu England, baada ya kuwasajili Cesc Fabregas, Diego Costa na Filipe Luis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani