Mourinho: Tutakuwa bora kwa miaka 10
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho anaamini kuwa timu yake itakuwa moto wa kuotea mbali kwa miaka 10 ijayo katika Ligi Kuu England, baada ya kuwasajili Cesc Fabregas, Diego Costa na Filipe Luis.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 May
Mourinho na Hazard ndio bora EPL
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Mourinho:Taji la mchezaji bora lifutwe
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
'Hakuna bora kama mimi',Mourinho ajigamba
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
9 years ago
Bongo514 Sep
Jose Mourinho asema hakuna bora kama yeye
9 years ago
Bongo507 Dec
Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
![2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108-300x194.jpg)
Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.
Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.
“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.
“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt42Tdu2A*VY5D3hYkdK8MRWZwsyeGjOUoBg7Ck74ef4g5O4NudAokORX75fizyCj9hVHGJK1ipc12jz*nTTOGsg/JOSE.jpg)
JOSE MOURINHO AONGEZA MIAKA 4 CHELSEA
11 years ago
Michuzi08 Jun
MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFc38PQQofU/U5Rerz75knI/AAAAAAABpDA/JzbQQ9hwuog/s640/IMG-20140608-WA0009.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-T70C-dEoBN8/U5RexZ66_CI/AAAAAAABpDI/PTmOVQhgpa0/s640/IMG-20140608-WA0017.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-2wihN_Rl-G8/U5Re0Fsrk8I/AAAAAAABpDQ/n7Juk5lQjs8/s640/IMG-20140608-WA0018.jpg)
Picha zaidi...
10 years ago
Habarileo27 Feb
‘Tutakuwa wawazi uchimbaji mafuta
KUTOKANA na Sekta ya Nishati, Gesi na Mafuta kuwa sekta muhimu inayotupiwa macho kama eneo nyeti la uwekezaji, serikali imesema huu ni wakati wa kuwaweka Watanzania na wadau wazi kila mmoja afanye kazi yake kulingana na uwezo wa taaluma yake.