Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.
Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.
“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.
“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
10 years ago
Bongo514 Sep
Jose Mourinho asema hakuna bora kama yeye
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …
Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]
The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Hiddink: Inawezekana Chelsea kumaliza nne bora
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Hodgson: Itakuwa vigumu kumuacha Vardy
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Mourinho: ilikuwa vigumu kumwachia Mata
10 years ago
GPL
JOSE MOURINHO HAKUNAGA
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
10 years ago
Bongo515 Oct
FA yampa adhabu Jose Mourinho