Hodgson: Itakuwa vigumu kumuacha Vardy
Mmeneja wa Uingereza Roy Hodgson amesema itakuwa vigumu kumuacha Jamie Vardy nje ya kikosi chake cha Euro 2016 akiendelea kung’aa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
9 years ago
Bongo507 Dec
Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
![2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108-300x194.jpg)
Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.
Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.
“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.
“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdNtUdAoddqC3BDkzcWWgpFwESeFrTifADmxaA5Jt-tH1skYWXyDzkDTbZE-Dxkn1SIPi7jKjSMBXHkd7V5rpLor/10.jpg?width=650)
MADHARA YA KUMUACHA MPENZI WAKO KWA KUMFUMANIA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPVa-l9CiFdpFaT5OElnMMqg5ZUb-ewKN0EfoZFvtmYOdl2HENB04L6jMGL82pO-QwoCzDMjnF-1X5YM8CB-umm/1.jpg)
KAMA KWELI UNAMPENDA UNAKUBALIJE KUMUACHA KIRAHISI?
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Wenger ashindwa kueleza sababu za kumuacha Cech
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Arsenal kupokea kichapo cha mabao 3-2 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya dhidi ya
Olympiacos, kocha wa klabu hiyo Arsene Wenger ameshinda kueleza sababu za kumueka benchi kipa namba moja Petr Cech na kumpa nafasi David Ospina.
Huo ulikuwa ni mchezo wa pili Arsenal inapoteza katika michuano hiyo ya Ligi ya Mabingwa, ambapo katika mchezo
wa awali klabu hiyo ilikutana na Dinamo Zagreb na kuchezea kichapo cha mabao 2-1.
Hata hivyo, baada ya kumalizika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8Yt50PYxxhDLB*MCaVNAdsT1JC3Nnb6r4O6SSYC1Sg*7oBJi*CnTj8Z*ASuegDQvqVPbhyADcwqj-ipXzKTebc/Sandra.jpg)
SANDRA: HATA NIKIMFUMANIA SIWEZI KUMUACHA MUME WANGU
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Hodgson kuongea ulaji England
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Roy Hodgson amkosoa Rodgers