Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger ashindwa kueleza sababu za kumuacha Cech

wengerLONDON, ENGLAND

BAADA ya Arsenal kupokea kichapo cha mabao 3-2 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya dhidi ya
Olympiacos, kocha wa klabu hiyo Arsene Wenger ameshinda kueleza sababu za kumueka benchi kipa namba moja Petr Cech na kumpa nafasi David Ospina.

Huo ulikuwa ni mchezo wa pili Arsenal inapoteza katika michuano hiyo ya Ligi ya Mabingwa, ambapo katika mchezo
wa awali klabu hiyo ilikutana na Dinamo Zagreb na kuchezea kichapo cha mabao 2-1.

Hata hivyo, baada ya kumalizika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wenger amsifu sana kipa Petr Cech

Wenger amemlimbikizia sifa golikipa wake Petr Cech na kusema ni mmoja wa "magolikipa stadi zaidi kuwahi kuchezea soka Uingereza”.

 

11 years ago

Michuzi

Cesc Fabregas afunguka, asema Nimehamia Chelsea sababu Wenger kaniambia sina namba Arsenal

 Kiungo wa Spain  Cesc Fabregas (pichani) amefunguka leo kwa kusema alifanya mazungumzo na kocha wa Arsenal Arsene Wenge kabla ya kuhamia Chelsea, na kuambiwa kwamba nafasi yake tayari imeshacukuliwa na Mesut Ozil.  Fabregas alikuwa chagua la kwanza la Arsenal baada ya mchezaji huyo alipoamua kuondoka Barcelona mwishoni mwa msimu uliopita, lakini akamua kwenda Chelsea kwa dau la pauni milioni 30.  “Niliongea na Mzee Wenger naye akanambia atapata wakati mgumu kumpa nafasi ya kucheza kwani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makinda kueleza utendaji wa Bunge

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, kesho atakuwa katika banda la ofisi za Bunge kutoa maelezo kwa wananchi kuhusiana na namna ya utendaji wa mhimili huo wa dola. Akizungumza jana katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hodgson: Itakuwa vigumu kumuacha Vardy

Mmeneja wa Uingereza Roy Hodgson amesema itakuwa vigumu kumuacha Jamie Vardy nje ya kikosi chake cha Euro 2016 akiendelea kung’aa.

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu leo kueleza mafanikio ya CCM jimboni

Lazaro NyalanduMBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, leo atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kueleza mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) .

 

10 years ago

GPL

MADHARA YA KUMUACHA MPENZI WAKO KWA KUMFUMANIA!

Mpenzi msomaji wangu, katika maisha ya kimapenzi yapo mengi ya kuvumilia ili kuweza kudumu na huyo uliyetokea kumpenda. Hata hivyo, kuna ambayo kuyavumilia inahitaji ujasiri wa hali ya juu. Hebu vuta picha, unaingia kwenye uhusiano na mtu ambaye moyo wako unaamini ni mpenzi sahihi, unampenda, unamheshimu na kumjali lakini siku moja unamfumania na mtu mwingine. Hivi kama ni wewe utaumia kwa kiwango gani? Ninavyojua maumivu yake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yafaa kueleza sera zake za uchumi

Katika mkutano wa G20 Uchina yaambiwa iwe wazi kuhusu sera zake za uchumi ili kuzuwia misukosuko katika masoko ya fedha dunaini

 

10 years ago

GPL

KAMA KWELI UNAMPENDA UNAKUBALIJE KUMUACHA KIRAHISI?

Ninachotaka kukizungumzia leo ni kuhusu watu kuachana katika mazingira ambayo wengi wasingetarajia. Zipo ndoa ambazo zimefungwa kwa mbwembwe sana lakini hazikudumu na ukiuliza utaambiwa chanzo ni mambo madogomadogo tena ya kuvumilika. Yapo ambayo kiukweli hayavumiliki kabisa. Kuna sababu ambazo ukitajiwa kuwa ndizo zilizosababisha  flani na flani kuachana, utasema hata ingekuwa wewe usingeweza kuvumilia lakini kuna nyingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani