Makinda kueleza utendaji wa Bunge
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, kesho atakuwa katika banda la ofisi za Bunge kutoa maelezo kwa wananchi kuhusiana na namna ya utendaji wa mhimili huo wa dola. Akizungumza jana katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhzB6g8qpxo/VFc_L1If9tI/AAAAAAAGvMo/1uS6w7Hl_-8/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CneLcA4uUac/VFc_MeY1BMI/AAAAAAAGvMs/GftZGY0yGEI/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
10 years ago
VijimamboMAKINDA AONGOZA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE, KIKAO CHA BUNGE KUANZA JANUARI 27
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
11 years ago
Habarileo06 Apr
Tuliombee Bunge la Katiba-Makinda
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amesema Katiba inaweza kuwa chanzo cha nchi kusambaratika na kuwataka viongozi wa dini na wananchi kwa ujumla, kila mmoja kwa imani yake kuliombea Bunge Maalumu la Katiba. Aliyasema hayo jana wakati akitoa salamu za wabunge na viongozi wa siasa kwenye ibada ya kumuombea aliyekuwa Askofu wa Kanisa Anglikana, Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo ambaye alizikwa jana kwenye viwanja vya kanisa hilo mjini hapa. Makinda alisema kama kila mmoja...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kamati tatu za Bunge zamgomea Makinda
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Makinda ataka Bunge la Katiba liombewe
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewaomba Watanzania kuliombea Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa lipo kwenye hali mbaya. Makinda alisema hayo mjini Dodoma jana wakati wa kutoa salamu katika ibada...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)