Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda ataka Bunge la Katiba liombewe

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewaomba Watanzania kuliombea Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa lipo kwenye hali mbaya. Makinda alisema hayo mjini Dodoma jana wakati wa kutoa salamu katika ibada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC


Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.

Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
“Lakini jambo kubwa ni kwamba ukanda huu umetengeneza bunge lenye uwezo wa kutunga sheria,...

 

11 years ago

Habarileo

Tuliombee Bunge la Katiba-Makinda

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amesema Katiba inaweza kuwa chanzo cha nchi kusambaratika na kuwataka viongozi wa dini na wananchi kwa ujumla, kila mmoja kwa imani yake kuliombea Bunge Maalumu la Katiba. Aliyasema hayo jana wakati akitoa salamu za wabunge na viongozi wa siasa kwenye ibada ya kumuombea aliyekuwa Askofu wa Kanisa Anglikana, Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo ambaye alizikwa jana kwenye viwanja vya kanisa hilo mjini hapa. Makinda alisema kama kila mmoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Makinda: Wajumbe Bunge la Katiba msikubali kununuliwa

>Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amewafunda wajumbe wa Bunge la Katiba, akiwataka kutokubali kununuliwa kwa chai wala fedha na kusahau jukumu lao la kulinda masilahi ya taifa.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu, DC wataka Bunge Maalum liombewe

WALIMU wilayani Kibaha mkoani Pwani, wameaomba wananchi kuwaombea wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ili waweze kupitisha Katiba yenye maslahi kwa wananchi. Walieleza kuwa Katiba nzuri na yenye maslahi kwa wananchi, itasaidia kufanya nchi kuendelea kuwa na amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ataka vazi la Kimasai Bunge la Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ester Mirimba, ametaka vazi la Kimasai kuwa maalumu wakati wa vikao vya Bunge hilo. Ester ni mwakilishi wa kundi la wafugaji kutoka Chalinze, alisema...

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ataka Bunge la Katiba wajipange

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar wametakiwa kujipanga upya katika mchakato wa Bunge lijalo kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi kero za Muungano.

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.

 

11 years ago

Mwananchi

Shibuda ataka Pinda alinusuru Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, John Shibuda amemshauri Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Idd na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, kukaa na kutafakari ili kulinusuru Bunge hilo kwa kuwa ubabe wa CCM hautawezesha kupatikana kwa katiba iliyokusudiwa.

 

11 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Fredy Azzah, Dodoma

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.

Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani