Makinda: Wajumbe Bunge la Katiba msikubali kununuliwa
>Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amewafunda wajumbe wa Bunge la Katiba, akiwataka kutokubali kununuliwa kwa chai wala fedha na kusahau jukumu lao la kulinda masilahi ya taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Makinda awafunda wajumbe wa Katiba
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Habarileo06 Apr
Tuliombee Bunge la Katiba-Makinda
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amesema Katiba inaweza kuwa chanzo cha nchi kusambaratika na kuwataka viongozi wa dini na wananchi kwa ujumla, kila mmoja kwa imani yake kuliombea Bunge Maalumu la Katiba. Aliyasema hayo jana wakati akitoa salamu za wabunge na viongozi wa siasa kwenye ibada ya kumuombea aliyekuwa Askofu wa Kanisa Anglikana, Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo ambaye alizikwa jana kwenye viwanja vya kanisa hilo mjini hapa. Makinda alisema kama kila mmoja...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Makinda ataka Bunge la Katiba liombewe
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewaomba Watanzania kuliombea Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa lipo kwenye hali mbaya. Makinda alisema hayo mjini Dodoma jana wakati wa kutoa salamu katika ibada...
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0528.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAWANOA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Michuzi26 Sep
Mtandao wa Wanawake na Katiba Wawapongeza Wajumbe wa Bunge maalum la Katiba
![Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Prof. Ruth Meena akizungumza na waandishi wa habari.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/m8cdBlx8iECl07lgecM4ereL6z_GbOh3tUadh62rn422chXgPsPTnJHdcv-x1j1MxWBmgSOvMIDVuzErtbHqt1mSo93mbA_UpwfgTJ76vkNQlCJekyo=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0134.jpg)
![Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Tanzania, Usu Mallya (katikati) akizungumza katika mkutano huo na wanahabari.](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Qh13ySPsV1yD99prfBkyxntjJa03R9Yw8Qlnu3rxYw5IJd4RTvkGetB-ckBG38daGLR0Gv9VcYWSzA-4tviSK0dxCp7LVSV5Ye1r3cIUkK_1qZJ3m4um=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_01911.jpg)