Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
Mourinho amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kulazwa 1-0 na Bournemouth.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
![2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108-300x194.jpg)
Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.
Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.
“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.
“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Hiddink: Inawezekana Chelsea kumaliza nne bora
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Hodgson: Itakuwa vigumu kumuacha Vardy
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Mourinho: ilikuwa vigumu kumwachia Mata
9 years ago
Bongo508 Dec
Sir Alex: Itakuwa ujinga Roman Abrahimovich akimfuta kazi Mourinho
![2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080-300x194.jpg)
Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema ‘itakuwa ujinga’ mmiliki wa Chelsea, Roman Abrahimovich kumfuta kazi Jose Mourinho.
Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesalia katika nafasi ya 14 baada ya kupoteza mechi 8 kati ya 15 za kwanza msimu huu.
Taarifa mbalimbali zinasema kuwa kibarua cha kocha huyo mbishi huenda kikaota nyasi endapo the Blues watashindwa tena katika mechi zao 2 zijazo.
Hata hivyo Ferguson amemtetea akisema hakuna haja ya kumtimua kocha huyo...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
‘Serikali ya awamu ya nne kumaliza vibaya’
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mourinho:Tunapigania nafasi ya nne
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-kImTaIoSrAoabndznaDn4OsUcZOLGbAFMXNbeEyxXo0w6axDIi*762-bqH1BHKKmba-B3ZKrpuTWA9nsll6w*M/Makalio.jpg?width=650)
BAADA YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SASA ATEMBEA KWA MAKALIO
10 years ago
Bongo505 Sep
Young Killer asema video ya ‘Umebadilika’ itakuwa bora kuliko zote alizowahi kufanya