Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora

Mourinho amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kulazwa 1-0 na Bournemouth.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora

2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108

Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.

2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108

Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.

“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.

“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hiddink: Inawezekana Chelsea kumaliza nne bora

Hiddink amesema bado inawezekana klabu hiyo kumaliza katika nne bora Ligi ya Premia baada yao kulaza Crystal Palace 3-0 Jumapili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hodgson: Itakuwa vigumu kumuacha Vardy

Mmeneja wa Uingereza Roy Hodgson amesema itakuwa vigumu kumuacha Jamie Vardy nje ya kikosi chake cha Euro 2016 akiendelea kung’aa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho: ilikuwa vigumu kumwachia Mata

Jose Mourinho amesmea kuwa ulikuwa ni 'uamuzi mgumu' kwake kumwachilia Juan Mata kujiunga na Manchester United.

 

9 years ago

Bongo5

Sir Alex: Itakuwa ujinga Roman Abrahimovich akimfuta kazi Mourinho

2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080

Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema ‘itakuwa ujinga’ mmiliki wa Chelsea, Roman Abrahimovich kumfuta kazi Jose Mourinho.

2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080

Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesalia katika nafasi ya 14 baada ya kupoteza mechi 8 kati ya 15 za kwanza msimu huu.

Taarifa mbalimbali zinasema kuwa kibarua cha kocha huyo mbishi huenda kikaota nyasi endapo the Blues watashindwa tena katika mechi zao 2 zijazo.

130305090736_ferguson_mourinho_512x288_pa

Hata hivyo Ferguson amemtetea akisema hakuna haja ya kumtimua kocha huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Serikali ya awamu ya nne kumaliza vibaya’

Wakati Serikali ya Awamu ya Nne imebakiza takriban mwaka mmoja kuondoka madarakani, sifa ya Tanzania kwenye jumuiya ya kimataifa imeendelea kutiwa doa kutokana na kuhusishwa na ongezeko la ufisadi wa mabilioni ya fedha za umma na ujangili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Tunapigania nafasi ya nne

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anataka kutimiza ndoto yake kwa kumaliza miongoni mwa timu nne bora mwishoni mwa msimu huu.

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SASA ATEMBEA KWA MAKALIO

Na Makongoro Oging’
Nyinyiga Raphael (27) ni kijana, mkazi wa Yombo Machimbo wilaya ya Temeke ambaye ndoto zake za kuendelea na masomo zilikatika baada ya kupatwa na maradhi ambayo yanamtesa kwa kipindi cha miaka saba sasa bila kutembea kwa miguu kama ilivyokuwa awali. Nyinyiga Raphael akitembea kwa kutumia makalio. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake huko Yombo, mama mzazi wa kijana huyo alikuwa na haya ya...

 

10 years ago

Bongo5

Young Killer asema video ya ‘Umebadilika’ itakuwa bora kuliko zote alizowahi kufanya

Rapper Young Killer Msodoki, amedai kuwa video ya wimbo wake ‘Umebadilika’ aliomshirikisha Banana Zorro itakuwa bora zaidi kuliko video zote alizowahi kufanya. Video hiyo iliyoongozwa na Hefemi Studios imefanyika katika visiwa vya Mbudya jijini Dar es Salaam. Msodoki ameiambia Kikwetu Blog kuwa uzuri wa video hiyo utachangiwa na mandhari aliyoyatumia ambayo yatapendezeshwa na muonekano wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani