Mourinho:Tunapigania nafasi ya nne
Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anataka kutimiza ndoto yake kwa kumaliza miongoni mwa timu nne bora mwishoni mwa msimu huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Anayeitaka nafasi ya Jose Mourinho ni huyu hapa…
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kwa sasa haina kocha baada ya kumfukuza kazi kocha wao mkuu Jose Mourihno. Headlines za sasa zimemgeukia kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ulolanzi Guus Hiddink ambaye ametajwa kukaimu nafasi ya Mourihno na tayari amesafiri kwa ndege leo kwenda kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu […]
The post Anayeitaka nafasi ya Jose Mourinho ni huyu hapa… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Nafasi ya Mourinho ndani ya Klabu ya Chelsea si nzuri
Kocha wa Klabu ya Chelsea, Jose Mourinho.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Chelsea, Oscar.
Na Rabi Hume
Hali ya mabingwa watetezi wa kombe la ligi kuu ya nchini Uingereza, Klabu ya Chelsea sio nzuri kwa msimu wa 2015/2016 kufuatia kuanza msimu huu vibaya kwa kuambulia points 11 katika michezo 11 iliyocheza mpaka sasa na kukamatilia nafasi ya 15 hali ambayo inamuweka katika kipindi kigumu kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho.
Hilo limethibitishwa na mshambuliaji wa...
9 years ago
Bongo507 Dec
Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
![2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108-300x194.jpg)
Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.
Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.
“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.
“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Wenger ajutia nafasi ya nne
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …
Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]
The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)
Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]
The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqux06JdK6D7qi86dq8*cXtW0VEGGNShD2IZQ3zwBx0DZ5*g7fuyoxw8aMSQrrXM7tCmCrw4K5bGGjgU3yJTq9u/STARS.jpg?width=650)
TANZANIA BARA YACHAPWA NA ZAMBIA, YASHIKA NAFASI YA NNE CHALENJI
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Uwanja wa ndege Dar washika nafasi ya nne kwa uduni