Wenger ajutia nafasi ya nne
Kocha wa Arsenal anajutia kuvurunda kwa timu yake hata ikairuhusu Everton kuipiku
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
''Ozil ajutia kukosa penalti'' Wenger
Kocha Arsene Wenger asema Ozil anajutia kukosa penalti dhidi ya Bayern Munich .
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mourinho:Tunapigania nafasi ya nne
Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anataka kutimiza ndoto yake kwa kumaliza miongoni mwa timu nne bora mwishoni mwa msimu huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqux06JdK6D7qi86dq8*cXtW0VEGGNShD2IZQ3zwBx0DZ5*g7fuyoxw8aMSQrrXM7tCmCrw4K5bGGjgU3yJTq9u/STARS.jpg?width=650)
TANZANIA BARA YACHAPWA NA ZAMBIA, YASHIKA NAFASI YA NNE CHALENJI
Baadhi ya wachezaji wa Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. Timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeshika nafasi ya nne michuano ya Kombe la Chalenji 2013 iliyofanyika nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Zambia kwa penalti 6-5. Dakika 90 za mchezo zilimalizika kwa bao 1-1. Bao la Zambia lilifungwa na Ronald Kampamba katika dakika ya 51 kabla ya Kili Stars kusawazisha kupitia kwa Mbwana Samatta dakika ya 65...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Uwanja wa ndege Dar washika nafasi ya nne kwa uduni
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Moses Malaki amesema uwanja wake umechakaa kiasi cha kukosa sifa za kuwa uwanja wa kisasa barani Afrika na dunia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQMpKfJhz2Dmx3x23PhLAed0o5uBCzW74z1*1Ng7FWzv-9AN0-Ta8HP3xXdAWMIiN7rZSZDiY40bBG-qaV6UaIe7/CHENI.jpg)
MSANII AJUTIA PENZI LA DK.CHENI
Stori: Ma yasa Mariwata
MSANII wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amesema anajutia kitendo chake cha kumtolea nje staa wa filamu Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ pale alipotangaza nia ya kutaka kumposa na kujiona bado mdogo. Msanii wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’. Akipiga stori na paparazi wetu, Bozi alisema kuwa, miaka mingi iliyopita, akiwa ametoka kuchezwa unyago, mkongwe huyo...
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Meneja wa Bournemouth ajutia maamuzi
Meneja wa Bournemouth,Eddie Howe amesema maamuzi yaliyofanywa kinyume na matarajio ya wengi dhidi ya Liverpool hayasameheki.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6jEk69OYDwqWAirmtwwWJKDJ8v20lzeSk6xkdlVIAPbj8n7gWY6exy2htXFsCTOZnLkszB8fBzm*zIWmHCnaVhu/13080318.jpg?width=650)
SETH BOSCO AJUTIA KUPONZWA NA STAREHE
Mdogo wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Seth Kamugisha Bosco. Stori: brighton masalu Mdogo wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Seth Kamugisha Bosco amekiri kujisahau na kuponzwa na starehe kwa kushindwa kufuata misingi na maagizo ya kaka yake na kwamba kwa sasa amerejea ‘mstarini’ kwa kufuata yote aliyohusiwa. Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu hivi karibuni, Seth alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5AohXeCm1YYio0FYwIkGUmHxxacD6ZMgp7ncQVx-ade6kP5Hm0Rmtpslp0SNpZpBLchmWZjcFDcE2vfCAj801Y7/WEMA1.png?width=650)
WEMA SEPETU AJUTIA MIMBA YA KANUMBA
Mwanadada asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Stori: Mwandishi Wetu/Risasi
MWANADADA asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anadaiwa kujutia mimba yake aliyopachikwa na aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ wakati wa mapenzi yao. Chanzo makini kilicho karibu na Wema kilieleza kwamba,...
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.
Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere ajutia kitendo cha uvutaji sigara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania