Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger ajutia nafasi ya nne

Kocha wa Arsenal anajutia kuvurunda kwa timu yake hata ikairuhusu Everton kuipiku

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

''Ozil ajutia kukosa penalti'' Wenger

Kocha Arsene Wenger asema Ozil anajutia kukosa penalti dhidi ya Bayern Munich .

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Tunapigania nafasi ya nne

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anataka kutimiza ndoto yake kwa kumaliza miongoni mwa timu nne bora mwishoni mwa msimu huu.

 

11 years ago

GPL

TANZANIA BARA YACHAPWA NA ZAMBIA, YASHIKA NAFASI YA NNE CHALENJI

Baadhi ya wachezaji wa Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. Timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeshika nafasi ya nne michuano ya Kombe la Chalenji 2013 iliyofanyika nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Zambia kwa penalti 6-5. Dakika 90 za mchezo zilimalizika kwa bao 1-1. Bao la Zambia lilifungwa na Ronald Kampamba katika dakika ya 51 kabla ya Kili Stars kusawazisha kupitia kwa Mbwana Samatta dakika ya 65...

 

10 years ago

Mwananchi

Uwanja wa ndege Dar washika nafasi ya nne kwa uduni

Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Moses Malaki amesema uwanja wake umechakaa kiasi cha kukosa sifa za kuwa uwanja wa kisasa barani Afrika na dunia.

 

10 years ago

GPL

MSANII AJUTIA PENZI LA DK.CHENI

Stori: Ma yasa Mariwata
MSANII wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amesema anajutia kitendo chake cha kumtolea nje staa wa filamu Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ pale alipotangaza nia ya kutaka kumposa na kujiona bado mdogo. Msanii wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’. Akipiga stori na paparazi wetu, Bozi alisema kuwa, miaka mingi iliyopita, akiwa ametoka kuchezwa unyago, mkongwe huyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Meneja wa Bournemouth ajutia maamuzi

Meneja wa Bournemouth,Eddie Howe amesema maamuzi yaliyofanywa kinyume na matarajio ya wengi dhidi ya Liverpool hayasameheki.

 

9 years ago

GPL

SETH BOSCO AJUTIA KUPONZWA NA STAREHE

Mdogo wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Seth Kamugisha Bosco. Stori: brighton masalu Mdogo wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Seth Kamugisha Bosco amekiri kujisahau na kuponzwa na starehe kwa kushindwa kufuata misingi na maagizo ya kaka yake na kwamba kwa sasa amerejea ‘mstarini’ kwa kufuata yote aliyohusiwa. Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu hivi karibuni, Seth alisema...

 

10 years ago

GPL

WEMA SEPETU AJUTIA MIMBA YA KANUMBA

Mwanadada asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Stori: Mwandishi Wetu/Risasi
MWANADADA asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anadaiwa kujutia mimba yake aliyopachikwa na aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ wakati wa mapenzi yao. Chanzo makini kilicho karibu na Wema kilieleza kwamba,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.

Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere ajutia kitendo cha uvutaji sigara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani