Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.

Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere ajutia kitendo cha uvutaji sigara.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara waharamishwa Lagos

Wabunge mjini Lagos, wamepitisha sheria inayoharamisha uvutaji sigara katika maeneo ya umma, ikiwemo mikahawani na katika maeneo ya usafiri wa umma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara unawaathiri watoto

Marufuku ya uvutaji sigara katika maeneo ya umma imepunguza idadi ya wanawake wanaojifungua mapema

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku uvutaji sigara China

Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing

 

11 years ago

KwanzaJamii

Zijue athari za uvutaji sigara

Miongoni mwa athari za tumbaku ni saratani ya koo na mapafu, kuziba kwa mishipa midogo ya damu, kupungua nguvu za kiume, kuwa na ukurutu, saratani ya kizazi, mimba kuharibika, vidonda vya tumbo na matatizo ya kusikia. Athari nyingine ni vidole, meno na mdomo kubadilika rangi, ngozi kukunjamana, matatizo ya mapafu, mifupa na moyo. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa karibu watu milioni sita hufa duniani kila mwaka kutokana na athari za matumizi ya tumbaku. Kati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara wa mumewe wampa mabilioni

Kampuni ya utengenezaji wa sigara nchini Marekani imeagizwa kulipa kitita kikubwa cha dola billioni 23 kwa mjane mmoja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere mapema zaidi

Arsene Wenger amesema kiungo Jack Wilshere anatarajiwa kurejea tena dimbani wiki mbili zijazo baada ya kuumia kifundo cha mguu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Jack Wilshere si mvutaji

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amemtetea kiungo Jack Wilshere,kuwa mchezaji huyo si ‘’mvutaji wa sigara’’

 

11 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere hatoshuka dimbani

Alijeruhiwa wakati wa mchuano wa kirafiki wa kimataifa kati ya England na Denmark.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani

Kesho ni siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani. Hii ni kutokana na athari zake za kiafya kwa wanaotumia na hata wale walio karibu na watumiaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani