Zijue athari za uvutaji sigara
Miongoni mwa athari za tumbaku ni saratani ya koo na mapafu, kuziba kwa mishipa midogo ya damu, kupungua nguvu za kiume, kuwa na ukurutu, saratani ya kizazi, mimba kuharibika, vidonda vya tumbo na matatizo ya kusikia. Athari nyingine ni vidole, meno na mdomo kubadilika rangi, ngozi kukunjamana, matatizo ya mapafu, mifupa na moyo. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa karibu watu milioni sita hufa duniani kila mwaka kutokana na athari za matumizi ya tumbaku. Kati ya...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Uvutaji sigara unawaathiri watoto
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Marufuku uvutaji sigara China
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Uvutaji sigara waharamishwa Lagos
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Uvutaji sigara wa mumewe wampa mabilioni
11 years ago
Mwananchi30 May
Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani
10 years ago
StarTV03 Jun
China yapiga marufuku uvutaji wa sigara maeneo ya wazi.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/29/141129034416_smoking_640x360_getty_nocredit.jpg)
Watakaokiuka sheria ya uvutaji sigara mjini Beijing kupigwa faini
Serikali ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.
Maelfu ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote ya wazi na watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa faini.
Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa kutekelezeka.
Ripoti inasema...
10 years ago
Vijimambo15 Jul
NesiWangu: JE UVUTAJI WA SIGARA NI SAWA NA UNYWAJI SUMU TARAT...
NesiWangu: JE UVUTAJI WA SIGARA NI SAWA NA UNYWAJI SUMU TARAT...: NINI TOFAUTI KATI YA MAPAFU YA MVUTA SIGARA NA ASIE MVUTA SIGARA Uvutaji wa sigara na ma...
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Utafiti: Uchafuzi wa hewa ni hatari kuliko uvutaji sigara?