Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Uchafuzi wa hewa ni hatari kuliko uvutaji sigara?

Utafiti mpya unakadiriwa kuwa uchafuzi wa hali ya hewa inapunguza miaka mtatu ya umri wa kuishi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sigara za Kielektroniki hatari:Utafiti

Watafiti wa afya kutoka Marekani wameonya matumizi ya sigara za kielektroniki zilizoandaliwa zinaweza kuwa na madhara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti waonesha hatari ya sigara, China

Utafiti mpya umeonya kuwa sigara ina uwezo wa kuua kijana mmoja kati ya vijana watatu nchini China.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Zijue athari za uvutaji sigara

Miongoni mwa athari za tumbaku ni saratani ya koo na mapafu, kuziba kwa mishipa midogo ya damu, kupungua nguvu za kiume, kuwa na ukurutu, saratani ya kizazi, mimba kuharibika, vidonda vya tumbo na matatizo ya kusikia. Athari nyingine ni vidole, meno na mdomo kubadilika rangi, ngozi kukunjamana, matatizo ya mapafu, mifupa na moyo. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa karibu watu milioni sita hufa duniani kila mwaka kutokana na athari za matumizi ya tumbaku. Kati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara waharamishwa Lagos

Wabunge mjini Lagos, wamepitisha sheria inayoharamisha uvutaji sigara katika maeneo ya umma, ikiwemo mikahawani na katika maeneo ya usafiri wa umma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara unawaathiri watoto

Marufuku ya uvutaji sigara katika maeneo ya umma imepunguza idadi ya wanawake wanaojifungua mapema

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku uvutaji sigara China

Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara wa mumewe wampa mabilioni

Kampuni ya utengenezaji wa sigara nchini Marekani imeagizwa kulipa kitita kikubwa cha dola billioni 23 kwa mjane mmoja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.

Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere ajutia kitendo cha uvutaji sigara.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani

Kesho ni siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani. Hii ni kutokana na athari zake za kiafya kwa wanaotumia na hata wale walio karibu na watumiaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani