Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti waonesha hatari ya sigara, China

Utafiti mpya umeonya kuwa sigara ina uwezo wa kuua kijana mmoja kati ya vijana watatu nchini China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sigara za Kielektroniki hatari:Utafiti

Watafiti wa afya kutoka Marekani wameonya matumizi ya sigara za kielektroniki zilizoandaliwa zinaweza kuwa na madhara.

 

5 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Uchafuzi wa hewa ni hatari kuliko uvutaji sigara?

Utafiti mpya unakadiriwa kuwa uchafuzi wa hali ya hewa inapunguza miaka mtatu ya umri wa kuishi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wanawake wavutaji sigara huacha kuzaa mapema

Wanawake wanaovuta sigara au kukaa na wavutaji sigara wamo katika hatari ya kukatisha uzazi wao mapema, utafiti mpya unaonyesha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku uvutaji sigara China

Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing

 

10 years ago

Africanjam.Com

SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA

China iliwahi kupitisha sheria ya kusitisha uvutaji wa sigara katika maeneo ya wazi pamoja na maeneo ya shule na hospitali lakini haikuweza kutekelezeka kwa mara ya kwanza.Ingawa kuna baadhi ya nchi kama Jamaica ambapo uvutaji sigara ama bangi si kitu cha ajabu lakini kwa upande wa China sasa kitendo hicho kimeonekana ni kosa kubwa na Serikali imeanza mikakati ya kuhakikisha inatokomeza uvutaji sigara.
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...

 

10 years ago

StarTV

China yapiga marufuku uvutaji wa sigara maeneo ya wazi.


Watakaokiuka sheria ya uvutaji sigara mjini Beijing kupigwa faini

Serikali ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.

Maelfu ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote ya wazi na watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa faini.

Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa kutekelezeka.

Ripoti inasema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Uzito mkubwa ni hatari

Utafiti uliofanyika nchini Sweden umebaini kuwa uzito mkubwa kwa vijana wadogo unaweza kusababisha Saratani ya utumbo hapo baadae

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari

Leo ni siku ya Saratani Duniani. Wakati tunaadhimisha siku hii hapa nchini idadi ya vijana ambao ni tegemeo la taifa inazidi kupungua kutokana kuangamia kwa saratani ikiwemo ya koo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Uongozi ni ‘hatari kwa maisha’

Utafiti uliofanywa kuhusu afya ya viongozi wa mataifa mbalimbali umebaini kuwa huwa wanazeeka haraka na kupoteza miaka mitatu katika muda wao wa kuishi kwa sababu ya uongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani