Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China yapiga marufuku uvutaji wa sigara maeneo ya wazi.


Watakaokiuka sheria ya uvutaji sigara mjini Beijing kupigwa faini

Serikali ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.

Maelfu ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote ya wazi na watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa faini.

Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa kutekelezeka.

Ripoti inasema...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku uvutaji sigara China

Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani

Kesho ni siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani. Hii ni kutokana na athari zake za kiafya kwa wanaotumia na hata wale walio karibu na watumiaji.

 

10 years ago

Mtanzania

China yapiga marufuku pembe za ndovu

Grace Shitundu na Hadia Khamis, Dar es Salaam
SERIKALI ya China imetangaza kuzuia uingizwaji wa pembe za ndovu nchini humo kwa mwaka mmoja ili kudhibiti kushamiri kwa biashara hiyo.
Hatua hiyo imechukuliwa na China wakati taifa hilo na nchi nyingine za Bara la Asia zikilalamikiwa na dunia kwa kuwa na soko kubwa la meno ya tembo hivyo kuchochea ujangili duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani, Waziri wa...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Zijue athari za uvutaji sigara

Miongoni mwa athari za tumbaku ni saratani ya koo na mapafu, kuziba kwa mishipa midogo ya damu, kupungua nguvu za kiume, kuwa na ukurutu, saratani ya kizazi, mimba kuharibika, vidonda vya tumbo na matatizo ya kusikia. Athari nyingine ni vidole, meno na mdomo kubadilika rangi, ngozi kukunjamana, matatizo ya mapafu, mifupa na moyo. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa karibu watu milioni sita hufa duniani kila mwaka kutokana na athari za matumizi ya tumbaku. Kati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara unawaathiri watoto

Marufuku ya uvutaji sigara katika maeneo ya umma imepunguza idadi ya wanawake wanaojifungua mapema

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara waharamishwa Lagos

Wabunge mjini Lagos, wamepitisha sheria inayoharamisha uvutaji sigara katika maeneo ya umma, ikiwemo mikahawani na katika maeneo ya usafiri wa umma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uvutaji sigara wa mumewe wampa mabilioni

Kampuni ya utengenezaji wa sigara nchini Marekani imeagizwa kulipa kitita kikubwa cha dola billioni 23 kwa mjane mmoja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.

Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere ajutia kitendo cha uvutaji sigara.

 

5 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Uchafuzi wa hewa ni hatari kuliko uvutaji sigara?

Utafiti mpya unakadiriwa kuwa uchafuzi wa hali ya hewa inapunguza miaka mtatu ya umri wa kuishi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani