China yapiga marufuku uvutaji wa sigara maeneo ya wazi.
Watakaokiuka sheria ya uvutaji sigara mjini Beijing kupigwa faini
Serikali ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.
Maelfu ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote ya wazi na watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa faini.
Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa kutekelezeka.
Ripoti inasema...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Marufuku uvutaji sigara China
11 years ago
Mwananchi30 May
Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani
10 years ago
Mtanzania04 Mar
China yapiga marufuku pembe za ndovu
Grace Shitundu na Hadia Khamis, Dar es Salaam
SERIKALI ya China imetangaza kuzuia uingizwaji wa pembe za ndovu nchini humo kwa mwaka mmoja ili kudhibiti kushamiri kwa biashara hiyo.
Hatua hiyo imechukuliwa na China wakati taifa hilo na nchi nyingine za Bara la Asia zikilalamikiwa na dunia kwa kuwa na soko kubwa la meno ya tembo hivyo kuchochea ujangili duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani, Waziri wa...
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Zijue athari za uvutaji sigara
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Uvutaji sigara unawaathiri watoto
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Uvutaji sigara waharamishwa Lagos
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Uvutaji sigara wa mumewe wampa mabilioni
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Jack Wilshere ajutia uvutaji sigara.
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Utafiti: Uchafuzi wa hewa ni hatari kuliko uvutaji sigara?