Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Uongozi ni ‘hatari kwa maisha’

Utafiti uliofanywa kuhusu afya ya viongozi wa mataifa mbalimbali umebaini kuwa huwa wanazeeka haraka na kupoteza miaka mitatu katika muda wao wa kuishi kwa sababu ya uongozi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Mtindi kinga dhidi ya kemikali hatari kwa wajawazito na watoto

Unaposikia au kuona maziwa ya mtindi, hisia zinazokufikia haraka ni zile za uchachu na ladha nzuri ya kinywaji hicho.

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70

Anorgasmia

Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.

Anorgasmia

Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.

Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.

Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hdroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo' kwa wagonjwa wa Covid, utafiti unasema

Wagonjwa walio hospitali wenye virusi vya corona wanaotibiwa kwa dawa ya hydroxychloroquine walikuwa katika hatari ya kufa, utafiti umeonesha.

 

9 years ago

Michuzi

Hospitali ya ApolloYatoa “Zawadi ya Maisha” kwa Kufanikisha Upandikizaji wa Moyo na Ini kwa Kijana wa umri wa Miaka 30

 Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia  ni  Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Apollo yatoa “Zawadi ya Maisha” kwa kufanikisha upandikizaji wa Moyo na Ini kwa kijana wa umri wa Miaka 30

B 1

Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.

Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia  ni  Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.

Na Mwandishi Wetu,

Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari

Leo ni siku ya Saratani Duniani. Wakati tunaadhimisha siku hii hapa nchini idadi ya vijana ambao ni tegemeo la taifa inazidi kupungua kutokana kuangamia kwa saratani ikiwemo ya koo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sigara za Kielektroniki hatari:Utafiti

Watafiti wa afya kutoka Marekani wameonya matumizi ya sigara za kielektroniki zilizoandaliwa zinaweza kuwa na madhara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Uzito mkubwa ni hatari

Utafiti uliofanyika nchini Sweden umebaini kuwa uzito mkubwa kwa vijana wadogo unaweza kusababisha Saratani ya utumbo hapo baadae

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti waonesha hatari ya sigara, China

Utafiti mpya umeonya kuwa sigara ina uwezo wa kuua kijana mmoja kati ya vijana watatu nchini China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani