Hospitali ya Apollo yatoa “Zawadi ya Maisha†kwa kufanikisha upandikizaji wa Moyo na Ini kwa kijana wa umri wa Miaka 30
Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DHefR-JxH4/Vng8a6dAevI/AAAAAAAAIb4/BNhqyTPcnWw/s640/B.jpg)
Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia ni Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3g-3z0DGcVA/Vng8a84bdqI/AAAAAAAAIb0/iXnF-YEKJpA/s72-c/B%2B1.jpg)
Hospitali ya ApolloYatoa “Zawadi ya Maisha†kwa Kufanikisha Upandikizaji wa Moyo na Ini kwa Kijana wa umri wa Miaka 30
![](http://1.bp.blogspot.com/-3g-3z0DGcVA/Vng8a84bdqI/AAAAAAAAIb0/iXnF-YEKJpA/s640/B%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DHefR-JxH4/Vng8a6dAevI/AAAAAAAAIb4/BNhqyTPcnWw/s640/B.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...
10 years ago
Dewji Blog06 Apr
Hospitali ya Apollo kuendesha kambi ya uchunguzi kwa ajili ya wagonjwa wa Moyo na mfumo wa fahamu Tanzania
Mwezi Machi sekta ya afya nchini Tanzania imepokea wataalam kutoka nchi mbalimbali duniani kwa ajili ya kutoa huduma za vipimo, ushauri na matibabu kwa watanzania. Ujio huu umeleta faida kubwa kwa wagonjwa na wataalamu nchini. Miongoni mwa waliotembelea ni timu ya Madaktari bingwa kutoka Israel na Hospitali za Apollo zilizopo nchini India. Ziara hizi za mwishoni mwa mwezi March zilitanguliwa na ziara ya madaktari wawill kutoka hospitali ya Apollo ya bangarole mwanzoni mwa mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tdGEnwzFoXg/XnNXG7DnAKI/AAAAAAALkbY/IEprH9rYVIkeZM64eVPDgMhYXM4rbQpKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B2.16.22%2BPM.jpeg)
HOSPITALI YA BENJAMIN YAFANYA UPANDIKIZAJI WA KWANZA WA FIGO KWA KUTUMIA MADAKTARI WAZAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tdGEnwzFoXg/XnNXG7DnAKI/AAAAAAALkbY/IEprH9rYVIkeZM64eVPDgMhYXM4rbQpKwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B2.16.22%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0wTjU44gKik/XnNXG1g1MkI/AAAAAAALkbc/wKdVl2T2PGUZSMv_asf80DpBD5XZTLZYwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B2.17.50%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u_23O490354/XnNXHFbulBI/AAAAAAALkbg/-4Kkf6Y-nA45hr0O6FYHt0sWImacmtmcwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B2.17.55%2BPM.jpeg)
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Profesa Kaisi: Daktari wa kwanza kuzalisha kwa njia ya upandikizaji upandikizaji
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S0-FuoU3jg4/VffcrdtFPQI/AAAAAAAH47Q/G9sxJeM-E2w/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
TICTS yatoa Tshs 3m/- kufanikisha shughuli za wiki ya Nenda kwa usalama barabarini kwa Mkoa wa Kipolisi Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-S0-FuoU3jg4/VffcrdtFPQI/AAAAAAAH47Q/G9sxJeM-E2w/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9wFSiS6if88/VffcrZDFoJI/AAAAAAAH47M/-NaEHp3-bI4/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-ciR67CT-Y/VVRg-TreATI/AAAAAAAHXNc/K3n3I9JiX3M/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
WAZIRI WA AFYA AIPONGEZA MUHIMBILI KUFANIKISHA MATIBABU YA MOYO KWA WATANZANIA
Hayo ameyasema alipotembelea Hospitali hiyo kuona namna ambavyo wataalam wetu kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Prince Sultan Cardiac Centre iliyoko Riyadhi nchini Saudi Arabia ambao wamekuwepo Muhimbili toka tarehe 9 Mei na wanatarajiwa kuondoka...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Hospitali za Apollo zatoa wito kwa watu binafsi kuchangia damu na kuokoa maisha
Ikisherehekewa kila mwaka tarehe 14 Juni Siku ya kimataifa ya uchangiaji damu inahusika katika kuinua uelewa wa umuhimu wa kila mmoja kuwa mstari wa mbele kuokoa maisha na pia kutoa shukrani kwa wachangiaji damu wote duniani. Katika nchi zinazo kua kama Tanzania upatikanaji wa damu salama ni bidhaa adimu na hasa inachangiwa na ushiriki mdogo wa raia.
Hata hivyo pamoja na shughuli zote zinazofanyika katika siku hiyo ni muhimu sana kila mmoja kutambua umuhimu wa kuchangia damu kwa hiyari....