Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hospitali ya Apollo yatoa “Zawadi ya Maisha” kwa kufanikisha upandikizaji wa Moyo na Ini kwa kijana wa umri wa Miaka 30

B 1

Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.

Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia  ni  Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.

Na Mwandishi Wetu,

Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Hospitali ya ApolloYatoa “Zawadi ya Maisha” kwa Kufanikisha Upandikizaji wa Moyo na Ini kwa Kijana wa umri wa Miaka 30

 Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia  ni  Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Apollo kuendesha kambi ya uchunguzi kwa ajili ya wagonjwa wa Moyo na mfumo wa fahamu Tanzania

Apollo-Bangalore-swa

Mwezi  Machi sekta ya afya nchini Tanzania imepokea wataalam kutoka nchi  mbalimbali duniani kwa ajili ya kutoa huduma za vipimo, ushauri na matibabu kwa watanzania. Ujio huu umeleta faida kubwa kwa wagonjwa na wataalamu nchini. Miongoni mwa waliotembelea ni timu ya Madaktari bingwa  kutoka Israel na Hospitali za Apollo zilizopo nchini India. Ziara hizi za mwishoni mwa mwezi March zilitanguliwa na ziara ya madaktari wawill kutoka hospitali ya Apollo ya bangarole mwanzoni mwa mwaka...

 

5 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA BENJAMIN YAFANYA UPANDIKIZAJI WA KWANZA WA FIGO KWA KUTUMIA MADAKTARI WAZAWA

Mgonjwa wa kwanza ambaye amepandikizwa figo (aliyekaa) akiwa na wataalam wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (wenye nguo nyeupe) waliomfanyia upandikizaji huo pamoja na ndugu yake (wa kwanza kushoto). Jopo la madaktari wazawa likiwa kwenye upasuaji wa upandikizaji figo. Madaktari hawa wameweka rekodi ya kuwa madaktari wazawa kufanya upandikizaji huu kwa mara ya kwanza nchini. Dkt. Masumbuko Mwashambwa ambaye aliongoza jopo la madaktari wazawa waliofanya upandikizaji wa figo wa kwanza kufanywa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Kaisi: Daktari wa kwanza kuzalisha kwa njia ya upandikizaji upandikizaji

>Hapana shaka kuwa maelfu ya wanawake nchini waliowahi kupata huduma zake wanamkumbuka bado kwa msaada mkubwa aliowapa na kuwasaidia kushika mimba, kuwapa ushauri wa kitaalamu au hata kuwazalisha.

 

9 years ago

Michuzi

TICTS yatoa Tshs 3m/- kufanikisha shughuli za wiki ya Nenda kwa usalama barabarini kwa Mkoa wa Kipolisi Temeke

 Kampuni ya TICTS yakabidhi mchango wa Tshs 3,000,000/= kufanikisha shughuli za wiki ya Nenda kwa usalama barabarini kwa Mkoa wa Kipolisi Temeke Kanda maalum ya Dar-es-salaam.Pichani Mkurugenzi wa Shughuli za maendele0 (TICTS) Bw Donald Talawa akikabidhi hundi kwa Kamanda wa Trafiki Mkoa wa Temeke SP R.T Shemndolwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani. Viongozi wa Kampuni ya TICTS.Bi Carol Owenya,Bw Donald Talawa na Bw John Masasi wakimsikiliza Kamanda wa Trafiki Mkoa wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA AFYA AIPONGEZA MUHIMBILI KUFANIKISHA MATIBABU YA MOYO KWA WATANZANIA

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Dkt. Seif Rashid ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili kupitia Idara yake ya Tiba na Upasuaji Moyo kwa kufanikisha matibabu ya moyo kwa wagonjwa 24 katika kipindi cha siku nne. 
Hayo ameyasema alipotembelea Hospitali hiyo kuona namna ambavyo wataalam wetu kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Prince Sultan Cardiac Centre iliyoko Riyadhi nchini Saudi Arabia ambao wamekuwepo Muhimbili toka tarehe 9 Mei na wanatarajiwa kuondoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Magonjwa sugu ya Ini na upandikizaji

Dr.anand khakhar_op swa+1

Apollo Liver Swahili Article Final 17 March 15 by moblog

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo zatoa wito kwa watu binafsi kuchangia damu na kuokoa maisha

blood (2)

Dr-Prathap-C-Reddy (1)

Ikisherehekewa kila mwaka tarehe 14 Juni Siku ya kimataifa ya uchangiaji damu inahusika katika kuinua uelewa wa umuhimu wa kila mmoja kuwa mstari wa mbele kuokoa maisha na pia kutoa shukrani kwa wachangiaji damu wote duniani. Katika nchi zinazo kua kama Tanzania upatikanaji wa damu salama ni bidhaa adimu na hasa inachangiwa na ushiriki mdogo wa raia.

Hata hivyo pamoja na shughuli zote zinazofanyika katika siku hiyo ni muhimu sana kila mmoja kutambua umuhimu wa kuchangia damu kwa hiyari....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani