Magonjwa sugu ya Ini na upandikizaji
Apollo Liver Swahili Article Final 17 March 15 by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3g-3z0DGcVA/Vng8a84bdqI/AAAAAAAAIb0/iXnF-YEKJpA/s72-c/B%2B1.jpg)
Hospitali ya ApolloYatoa “Zawadi ya Maisha†kwa Kufanikisha Upandikizaji wa Moyo na Ini kwa Kijana wa umri wa Miaka 30
![](http://1.bp.blogspot.com/-3g-3z0DGcVA/Vng8a84bdqI/AAAAAAAAIb0/iXnF-YEKJpA/s640/B%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DHefR-JxH4/Vng8a6dAevI/AAAAAAAAIb4/BNhqyTPcnWw/s640/B.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Hospitali ya Apollo yatoa “Zawadi ya Maisha†kwa kufanikisha upandikizaji wa Moyo na Ini kwa kijana wa umri wa Miaka 30
Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DHefR-JxH4/Vng8a6dAevI/AAAAAAAAIb4/BNhqyTPcnWw/s640/B.jpg)
Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia ni Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Profesa Kaisi: Daktari wa kwanza kuzalisha kwa njia ya upandikizaji upandikizaji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dNpQslCuRYc/XpDCIsuYbvI/AAAAAAALmwI/chMMB6a54KAGTy5kZLemCWCXDp9XWue4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
WENYE MAGONJWA SUGU HUATHIRIKA ZAIDI NA COVID -19
![](https://1.bp.blogspot.com/-dNpQslCuRYc/XpDCIsuYbvI/AAAAAAALmwI/chMMB6a54KAGTy5kZLemCWCXDp9XWue4ACLcBGAsYHQ/s400/Ndugulile.jpeg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile amewashauri watu wenye magonjwa sugu kuchukua tahadhari zaidi hasa kwa kupima afya na kufuata ushauri wa wataalamu katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19.) ambao hadi sasa maambukizi yake nchini yamefika watu 32 na vifo vitatu.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Ndugulile amechapisha taarifa iliyoeleza kuwa mtu mwenye magonjwa sugu ikiwemo kisukari, shinikizo la damu, pumu, ...
10 years ago
Habarileo22 Jun
Serikali, Apollo kuanzisha hospitali ya magonjwa sugu
SERIKALI kwa kushirikiana na Hospitali bingwa ya magonjwa sugu duniani ya Apollo iliyopo nchini India, inatarajia kuanzisha hospitali nchini kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo badala ya wagonjwa kusafirishwa India.
10 years ago
Habarileo12 Sep
‘Ole wao wanaojitangaza kutibu magonjwa sugu’
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Steven Kebwe ametaka watu wanaojitangaza kuwa na uwezo wa kutibu, kuponya magonjwa sugu kuacha kufanya hivyo.
11 years ago
Michuzi02 Jun
DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA YA SARATANI, MATUMBO NA INI UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI CHAFUNGULIWA MUHIMBILI
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
RC Dar ashiriki kampeni maalum ya kuwachangia wanahabari wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Paul Makonda akiongeza na washiriki katika tukio la kuchangia mfuko kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani ambapo alisema kuwa wamiliki wa vyombo vya habari hawana budi kuwajali wanahabari na kuwapatia huduma muhimu ikiwemo Mikataba ya Kazi pamoja na Bima za matibabu ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi na uadilifu, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. kulia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick na Kushoto ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s640/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...