‘Ole wao wanaojitangaza kutibu magonjwa sugu’
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Steven Kebwe ametaka watu wanaojitangaza kuwa na uwezo wa kutibu, kuponya magonjwa sugu kuacha kufanya hivyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Hofu ya Ebola kuwa sugu kutibu
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y61k1BZ_92E/VfZ8mhPEvZI/AAAAAAAAT3I/n1I02EQB9eQ/s72-c/chunusi.jpg)
MCHANGANYIKO WA ASALI NA MDALASINI KATIKA KUTIBU CHUNUSI SUGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y61k1BZ_92E/VfZ8mhPEvZI/AAAAAAAAT3I/n1I02EQB9eQ/s640/chunusi.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sLdLxbEBjQo/VfZ8m3riaoI/AAAAAAAAT3M/rU3lTiKPZNM/s640/chunusi12.jpg)
1. Chukua vijiko vitatu(3) vya chai vya ASALI 2. Chukua nusu kijiko cha chai cha MDALASINI WA UNGA safi 3....
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Gharama kubwa kutibu magonjwa yasiyoambukiza ni tiketi ya kifo
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
10 years ago
Habarileo22 Jun
Serikali, Apollo kuanzisha hospitali ya magonjwa sugu
SERIKALI kwa kushirikiana na Hospitali bingwa ya magonjwa sugu duniani ya Apollo iliyopo nchini India, inatarajia kuanzisha hospitali nchini kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo badala ya wagonjwa kusafirishwa India.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dNpQslCuRYc/XpDCIsuYbvI/AAAAAAALmwI/chMMB6a54KAGTy5kZLemCWCXDp9XWue4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
WENYE MAGONJWA SUGU HUATHIRIKA ZAIDI NA COVID -19
![](https://1.bp.blogspot.com/-dNpQslCuRYc/XpDCIsuYbvI/AAAAAAALmwI/chMMB6a54KAGTy5kZLemCWCXDp9XWue4ACLcBGAsYHQ/s400/Ndugulile.jpeg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile amewashauri watu wenye magonjwa sugu kuchukua tahadhari zaidi hasa kwa kupima afya na kufuata ushauri wa wataalamu katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19.) ambao hadi sasa maambukizi yake nchini yamefika watu 32 na vifo vitatu.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Ndugulile amechapisha taarifa iliyoeleza kuwa mtu mwenye magonjwa sugu ikiwemo kisukari, shinikizo la damu, pumu, ...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Lowassa: Ole wao
NA MAREGESI PAUL, KAHAMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewaonya viongozi watakaowanyanyasa wamachinga, mama ntilie na waendesha bodaboda baada ya yeye kuingia madarakani.
Amesema pamoja na kwamba Serikali yake itamjali kila Mtanzania, makundi hayo matatu ni marafiki zake na anajua umuhimu wao katika kukuza uchumi wa taifa.
Kutokana na hali hiyo, amesema hatasita kumchukulia hatua kiongozi yeyote wa Serikali atakayeyanyanyasa makundi hayo kwa...
10 years ago
Mtanzania02 Feb
JK:Ole wao wagombea CCM
SHABANI MATUTU, SONGEA na Oliver Oswald (Dar)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewaonya watu wanaotaka kuwania urais kupitia chama hicho.
Amesema endapo watavunja sheria na kanuni wasikilaumu chama hicho bali wajilaumu wenyewe.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Songea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yaliyohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.
Alisema anaamini CCM ni chama kinachofuata taratibu za kuwapata viongozi wake bora kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s640/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...