Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu ya Ebola kuwa sugu kutibu

Wanasayansi wanaokabiliana na janga la Ebola nchini Guinea wanasema kwamba virusi vianvyosababisha Ebola vimeanza kuwa sugu hali ambayo inaifanya vigumu kutibu ugonjwa wa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Ole wao wanaojitangaza kutibu magonjwa sugu’

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen KebweNAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Steven Kebwe ametaka watu wanaojitangaza kuwa na uwezo wa kutibu, kuponya magonjwa sugu kuacha kufanya hivyo.

 

9 years ago

Michuzi

MCHANGANYIKO WA ASALI NA MDALASINI KATIKA KUTIBU CHUNUSI SUGU

Asali ikiwa imechanganywa na mdalasini tayari kwa matumizi Wadau wetu wale ambao wanasumbuliwa sana na CHUNUSI iwe USONI, KIFUANI, MGONGONI n.k wanaweza tumia mchanganyiko mzuri wa ASALI na MDALASINI WA UNGA kwa kupaka angalau mara moja kwa siku. ASALI na MDALASINI zinasaidia kuponyesha kwasababu zina tabia za ANTI-BACTERIAL( zinaua na kuzuia mazalia ya bacteria) Jinsi ya kufanya:-
1. Chukua vijiko vitatu(3) vya chai vya ASALI 2. Chukua nusu kijiko cha chai cha MDALASINI WA UNGA safi 3....

 

10 years ago

Vijimambo

ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA

Aliyekuwa mpenzi wake na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amemtupia mzazi mwenzake kuwa hamjali mwanae baada ya kuachana.Faiza alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo alikiri kuwa kuachana na Sugu kunaendelea kumuumiza.
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”“Yaani inauma sana mtu ambaye ulikuwa unamuona...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi

MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Damu ya waliopona kutibu ugonjwa

WHO lamesema kuwa damu ya watu ambao wameponea ugonjwa wa Ebola inaweza kutumiwa kuwauguza wagonjwa wengine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba yatuma madaktari zaidi kutibu Ebola

Fidel Castro aahidi kuwa Cuba itatuma matatibu zaidi Afrika Magharibi mbali ya wale waliokwishapelekwa

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola

Watu wengi walikuwa hawaijui dawa hii iliyokuwa katika hatua za majaribio hadi pale wafanyakazi wawili wa mashirika ya afya ya kimataifa, raia wa Marekani walipoambukizwa ebola wakati wakiwasaidia waathirika wa ugonjwa huo katika nchi za Afrika Magharibi.

 

9 years ago

Mwananchi

Ni aibu Dar kuwa sugu kwa kipindupindu

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Paul Makonda aliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari akizungumzia kulipuka kwa ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya yake, baada ya kutokea vifo vitatu na idadi ya wagonjwa kuongezeka hadi 34.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Ebola DRC

Watu wanne wamefariki dunia wakiwa na dalili za ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani