Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cuba yatuma madaktari zaidi kutibu Ebola

Fidel Castro aahidi kuwa Cuba itatuma matatibu zaidi Afrika Magharibi mbali ya wale waliokwishapelekwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar

377

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake  maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.

Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi  Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia  watu wawili  miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba  katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madaktari wataja mchanganyiko wa dawa unaoweza kutibu Covid-19

Dkt John Wright kutoka Bradford Royal Infirmary (BRI) anaelezea baadhi ya majaribio yanayoendelea kwa ajili ya kupata tiba ya Covid-19, na mchanganyiko wa aina tatu za dawa ambazo zinaweza kuwa ufunguo wa tiba ya corona.

 

11 years ago

Michuzi

balozi seif atembelea madaktari bingwa kutoka cuba, akutana na mkurugenzi wa maonesho ya biashara wa uturuki

  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi  Seif Ali Iddi kulia akibadilishana mawazo na Madaktari Mabingwa kutoka Nchini Cuba hapo kwenye Makazi yao Mnazi Mmoja Mkabala na Bustani ya Victoria ambao wanaendelea kutoa mafunzo ya Udaktari kwa Madaktari wazalendo wa Zanzibar. Kati kati aliyevaa koti jeusi ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dr. Saleh Mohamed Jidawi.   Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dr. Saleh Mohamed Jidawi Kushoto aliyevaa koti akitoa maelezo mbele ya Makamu wa Pili...

 

10 years ago

BBCSwahili

EBOLA: DRC yatuma watabibu Guinea

Wafanyakazi wa afya 81 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamewasili nchini Guinea, kusaidia kukabiliana na janga la Ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

EAC yatuma wataalamu 600 kukabili ebola

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimetuma wataalamu, madaktari na wahudumu wa afya zaidi ya 600 katika nchi za Afrika Magharibi zilizokumbwa na maambuziki ya virusi vya ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Damu ya waliopona kutibu ugonjwa

WHO lamesema kuwa damu ya watu ambao wameponea ugonjwa wa Ebola inaweza kutumiwa kuwauguza wagonjwa wengine.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi

MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Ebola kuwa sugu kutibu

Wanasayansi wanaokabiliana na janga la Ebola nchini Guinea wanasema kwamba virusi vianvyosababisha Ebola vimeanza kuwa sugu hali ambayo inaifanya vigumu kutibu ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBC

Cuba's health diplomacy in the age of Ebola

Cuba's impressive response to the Ebola outbreak

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani