Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EAC yatuma wataalamu 600 kukabili ebola

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimetuma wataalamu, madaktari na wahudumu wa afya zaidi ya 600 katika nchi za Afrika Magharibi zilizokumbwa na maambuziki ya virusi vya ugonjwa wa ebola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

EAC to send 600 medics to tackle Ebola

>The EAC partner states will deploy about 600 healthcare workers to the Ebola-stricken countries in West Africa, according to Kenya’s Cabinet Secretary for Health, Mr James Macharia.

 

10 years ago

Habarileo

Nchi za EAC zaunganisha nguvu kukabili ebola

MAWAZIRI wa Afya wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameweka mikakati madhubuti ya kupambana na ugonjwa wa ebola ili ugonjwa huo usiweze kuingia kirahisi katika nchi hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

EBOLA: DRC yatuma watabibu Guinea

Wafanyakazi wa afya 81 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamewasili nchini Guinea, kusaidia kukabiliana na janga la Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba yatuma madaktari zaidi kutibu Ebola

Fidel Castro aahidi kuwa Cuba itatuma matatibu zaidi Afrika Magharibi mbali ya wale waliokwishapelekwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Vifo kutokana na Ebola ni zaidi ya 600

Vifo kutokana na Ebola huko Afrika magharibi ni zaidi ya 600 huku udhibiti ukicheleweshwa na changamoto zinazoibuka .

 

10 years ago

Michuzi

EAC AT WORLD TRAVEL MARKET IN LONDON: East Africa is a Safe and Ebola Free Destination, EAC Tells WTM

The East African Community is show-casing the region’s tourism potential and marketing the five Partner States as a Single Tourist Destination at the ongoing World Travel Market in London, United Kingdom.
The five Partner States are being lead by Chairperson of the EAC Council of Ministers, Hon. Phyllis Kandie, who is also Kenya’s Cabinet Secretary, Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism, while Hon. Jesca Eriyo, the EAC Deputy Secretary General (Productive and Social Sectors)...

 

11 years ago

Habarileo

EAC kukabili ugaidi kwa nguvu zote

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia rasilimali zao kukabiliana na ugaidi na uhalifu unaozikabili.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania imejipanga kukabili ebola

RAIS Jakaya Kikwete, amesema Tanzania imejipanga vyema kukabiliana na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa ebola, huku akisisitiza kuwa hadi sasa hakuna mgonjwa aliyebainika kuwa na ugonjwa huo nchini. Akizungumza na wazee wa Dodoma mkoani hapo jana, Rais Kikwete alisema kwa sasa ugonjwa huo umekuwa tishio hasa kwa nchi za Afrika Magharibi, ikiwemo Guinea, Sierra Leone na Liberia na tayari wataalamu wametangaza usipodhibitiwa, huenda ukawashinda na kuwa ugonjwa hatari kama ilivyo kwa ugonjwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajipanga kukabili Ebola

SERIKALI imesema itahakikisha hakuna mwananchi atakayefariki kutokana na kukosa huduma katika vituo vya afya pindi atakapobanika kuwa na ugonjwa wa Ebola labda achelewe kufika katika vituo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani