Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Damu ya waliopona kutibu ugonjwa

WHO lamesema kuwa damu ya watu ambao wameponea ugonjwa wa Ebola inaweza kutumiwa kuwauguza wagonjwa wengine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo

Wanasayansi wanafanya majaribio kuona iwapo dawa ya maumivu ya Ibruprofen inaweza kutumika katika hospitali kuwasaidia wagonjwa wa corona.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi

MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Ebola kuwa sugu kutibu

Wanasayansi wanaokabiliana na janga la Ebola nchini Guinea wanasema kwamba virusi vianvyosababisha Ebola vimeanza kuwa sugu hali ambayo inaifanya vigumu kutibu ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba yatuma madaktari zaidi kutibu Ebola

Fidel Castro aahidi kuwa Cuba itatuma matatibu zaidi Afrika Magharibi mbali ya wale waliokwishapelekwa

 

9 years ago

Michuzi

Thalassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA


Na Mwandishi Wetu, Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...

 

9 years ago

Vijimambo

halassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA


Na Mwandishi Wetu, 
Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola

Watu wengi walikuwa hawaijui dawa hii iliyokuwa katika hatua za majaribio hadi pale wafanyakazi wawili wa mashirika ya afya ya kimataifa, raia wa Marekani walipoambukizwa ebola wakati wakiwasaidia waathirika wa ugonjwa huo katika nchi za Afrika Magharibi.

 

5 years ago

Michuzi

MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA


Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.

Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.

Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana


Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani