halassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s72-c/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s72-c/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Thalassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s640/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
10 years ago
BBCSwahili06 Sep
Ebola:Damu ya waliopona kutibu ugonjwa
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Ugonjwa wa TB hatari waingia nchini
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pobHs6gLczFt5BWiobDgvy0y*5tVN5s7AYD-*dkf4XfGFyp*apjLCtE63JgxcXpe-w3nYFuQh*jsyYcVhEs0Z9l/homa.jpg?width=640)
HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Homa ya ini : Ugonjwa hatari uliopuuzwa na jamii nyingi
11 years ago
Habarileo04 Apr
Ugonjwa hatari watesa 144 Dar, waua mmoja
WAGONJWA 144 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya Dengue hadi wiki iliyopita jijini Dar es Salaam huku mtu mmoja akifariki dunia. Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando, Wilaya ya Kinondoni ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wagonjwa 132, Ilala ina wagonjwa wanane na Temeke wanne.