Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mmea hatari watumiwa kuzalisha kawi Kenya
Mmea wa Mathenge ulikuwa umegeuka kero maeneo mengi Kenya lakini sasa umekuwa baraka baada ya kuanza kutumiwa kuzalisha kawi.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Ugonjwa wa TB hatari waingia nchini
Wakati Taifa likikabiliwa na changamoto kubwa ya uhaba wa dawa hospitalini, aina mpya na hatari zaidi ya ugonjwa wa kifua kikuu sugu imegundulika na kuathiri mtu mmoja nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s72-c/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Thalassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s640/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s72-c/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
halassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s640/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pobHs6gLczFt5BWiobDgvy0y*5tVN5s7AYD-*dkf4XfGFyp*apjLCtE63JgxcXpe-w3nYFuQh*jsyYcVhEs0Z9l/homa.jpg?width=640)
HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI
Makala: Mwandishi Wetu
NI ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini...
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea
Wanasayansi nchini Ufaransa wasema virusi vya Ugonjwa wa Ebola ndio chanzo cha ugonjwa wa homa ya Haemorajic nchini Guinea
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Homa ya ini : Ugonjwa hatari uliopuuzwa na jamii nyingi
Watu wengi hawana elimu kuhusu ugonjwa wa homa ya ini ambao unaonekana kuwa hatari kuliko magonjwa yanayoogopeka kama vile Ukimwi.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Ugonjwa hatari watesa 144 Dar, waua mmoja
WAGONJWA 144 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya Dengue hadi wiki iliyopita jijini Dar es Salaam huku mtu mmoja akifariki dunia. Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando, Wilaya ya Kinondoni ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wagonjwa 132, Ilala ina wagonjwa wanane na Temeke wanne.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8VTu4eftr7M/U_IyL-l1caI/AAAAAAAGAjU/IkqrK3H3Dqk/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YATOA TARIFA JUU YA UGONJWA HATARI WA EBOLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8VTu4eftr7M/U_IyL-l1caI/AAAAAAAGAjU/IkqrK3H3Dqk/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oNH4q-peJ4g/U_IydIGFErI/AAAAAAAGAjc/6CvowEMPLLA/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kuchukua hatua mbali mbali za kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Ebola ambao unazidi kusambaa katika nchi mbali mbali Barani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania