SERIKALI YA ZANZIBAR YATOA TARIFA JUU YA UGONJWA HATARI WA EBOLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8VTu4eftr7M/U_IyL-l1caI/AAAAAAAGAjU/IkqrK3H3Dqk/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohamed akizungumza na wanahabari Ofisini kwake Vuga kuhusu Ugonjwa wa Ebola na mikakati ambayo SMZ inaendelea kuichukuwa ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari, hadi sasa hakuna mgonjwa alieyegundulikana na ugonjwa huo Zanzibar.
NA/JAMILA ABDALLA –MAELEZO ZANZIBAR.
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kuchukua hatua mbali mbali za kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Ebola ambao unazidi kusambaa katika nchi mbali mbali Barani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvOyku9UFMWybzW-YWPuzGPPhHjm-uzbdPT8aEYwQgCXKqpgKcPtHW1r9N4i2yzzrNO4Z1P-wMxPLrDHGkbDPH1u/ELIMU.jpg)
UNADHANI WANANCHI WAMEPATA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA UGONJWA WA EBOLA?
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR]....
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Serikali yatoa taarifa ya mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu nchini
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla akitoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Pichani chini kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya (Kaimu Mkurugenzi), Michael John.
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla ametoa tamko kwa umma,...
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Dk Kebwe: Serikali imejipanga kudhibiti ugonjwa wa ebola
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Ugonjwa wa Ebola na jitihada za Serikali katika kupambana nao
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akisalimiana na Wauguzi waliovalia mavazi maalumu tayari kutoa huduma kwa abiria atayekutwa na ugonjwa wa Ebola mara atapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM
Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya homa ya hemoraji ikimaanisha ugonjwa wa kumwagika damu bila kuganda (Viral Haemorrhagic Fevers).
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, ugonjwa huu ni hatari na unasababishwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Diq4PNDNif0/U_9UpvcTqsI/AAAAAAAGMdU/jTyALT78sWY/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
KIFAA CHA KUCHUNGUZIA UGONJWA WA EBOLA CHAWEKWA AIR PORT ZANZIBAR
Wizara ya Afya Zanzibar imekabidhi kifaa cha THERMAL SCANNER kwa ajili ya kuchunguza Wagonjwa wa EBOLA watakao ingia nchini kutoka mataifa mengine.
Kifaa hicho kilichowekwa katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume kitatumika kwa ajili ya kuwachunguza zaidi Wageni ambao watatoka katika nchi zilizoathiriwa na Ugonjwa wa Ebola.
Akikabidhi kifaa hicho Mkuu wa kitengo cha kufuatilia mwenendo wa Maradhi Zanzibar Dkt Salma Masauni amesema THEMO SKAN...
5 years ago
MichuziHUAWEI YATOA MCHANGO KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ZA KUPAMBANA NA UGONJWA WA KORONA.
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO JINSI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA EBOLA