Ugonjwa hatari watesa 144 Dar, waua mmoja
WAGONJWA 144 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya Dengue hadi wiki iliyopita jijini Dar es Salaam huku mtu mmoja akifariki dunia. Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando, Wilaya ya Kinondoni ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wagonjwa 132, Ilala ina wagonjwa wanane na Temeke wanne.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Ugonjwa wa moyo watesa vijana
![Hospitali ya Muhimbili](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Muhimbili.jpg)
Hospitali ya Muhimbili
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MAISHA ya vijana wengi wa Kitanzania yapo hatarini kutokana na unywaji pombe na uvutaji sigara kupita kiasi, unaotajwa kuwa miongoni mwa sababu za kupatwa na ugonjwa wa moyo.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Moyo wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Robert Mvungi, alipozungumza na waandishi wa habari katika Siku ya Moyo Duniani iliyoadhimishwa kidunia jana.
Dk. Mvungi alisema wagonjwa wa...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Majambazi waua mmoja, wapora
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
MTUKURU waua mtoto wa mwaka mmoja Singida
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
POLISI mkoani Singida inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mtoto wa mwaka mmoja na mama mtoto kulazwa baada ya kunywa pombe ya ‘Mtukuru’ nyumbani kwa mtuhumiwa.
Kamanda wa polisi mkoa, Thobias Sedoyeka alimtaja mwanamke anayeshikiliwa kuwa ni Anastazia Kadama (35) mkazi wa kijiji cha Msule, Misughaa wilayani Ikungi...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Ugonjwa wa TB hatari waingia nchini
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s72-c/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Thalassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s640/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s72-c/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
halassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S1ChLfbBI9w/VgV8qJO9dAI/AAAAAAAAH5U/BnWkuXRdf_I/s640/Dr%2B%2BRevathi.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pobHs6gLczFt5BWiobDgvy0y*5tVN5s7AYD-*dkf4XfGFyp*apjLCtE63JgxcXpe-w3nYFuQh*jsyYcVhEs0Z9l/homa.jpg?width=640)
HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea