Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nafasi ya Mourinho ndani ya Klabu ya Chelsea si nzuri

Chelsea's manager Jose Mourinho celebrates

Kocha wa Klabu ya Chelsea, Jose Mourinho.

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Chelsea, Oscar

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Chelsea, Oscar.

Na Rabi Hume

Hali ya mabingwa watetezi wa kombe la ligi kuu ya nchini Uingereza, Klabu ya Chelsea sio nzuri kwa msimu wa 2015/2016 kufuatia kuanza msimu huu vibaya kwa kuambulia points 11 katika michezo 11 iliyocheza mpaka sasa na kukamatilia nafasi ya 15 hali ambayo inamuweka katika kipindi kigumu kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho.

Hilo limethibitishwa na mshambuliaji wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Klabu Ya Chelsea Yamfuta kazi kocha Jose Mourinho.

 

Bodi ya klabu ya Chelsea The Blues ya England hatimaye imefikia uamauzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho chini ya mmiliki wake Roman Abramovic kufuatia  matokeo mabaya kwenye ligi kuu ya England  ikiwa katika nafasi ya 16 ya msimamo wa ligi hiyo.

Klabu hiyo bado haijatangaza rasmi lakini tayari bodi  imepeana mkono wa kwaheri  ikiwa ni miezi saba tangu  alipoiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL msimu uliopita.

Kipigo cha jumatatu wiki hii dhidi ya Leicester City  cha mabao 2-1...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Tunapigania nafasi ya nne

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anataka kutimiza ndoto yake kwa kumaliza miongoni mwa timu nne bora mwishoni mwa msimu huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Man City wana nafasi nzuri ya kushinda debi

Louis van Gaal amesema Manchester City ndio walio kwenye nafasi nzuri ya kushinda debi ya Jumapili, licha ya mechi hiyo kuchezewa Old Trafford.

 

9 years ago

Mwananchi

Mourinho atimuliwa Chelsea

Kocha Jose Mourinho ametimuliwa na klabu ya Chelsea baada ya kupata kipigo cha mabao 2-1 mbele ya Leicester City na kuendeleza jinamizi la kupoteza michezo lililoikumba klabu hiyo msimu huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bodi ya Chelsea yamjadili Mourinho

Mmiliki wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich amekutana na bodi ya klabu hiyo kujadili hatima ya meneja wa klabu hiyo Jose Mourinho.

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho atupiwa virago Chelsea

mourinho-jose-424737LONDON England

CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.

Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.

Kufungwa na vinara wa ligi...

 

9 years ago

Mtanzania

Mashabiki Chelsea wamlilia Mourinho

MashabikiLONDON, ENGLAND

MASHABIKI wa Chelsea wameshindwa kuzuia hisia zao juzi katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Sunderland ambapo klabu yao ilishinda mabao 3-1, lakini walionekana wakiwa na mabango ambayo yanaonesha bado wanamuhitaji.

Kocha huyo amefukuzwa na klabu hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita, lakini katika mchezo wa juzi mashabiki waliojitokeza kwenye Uwanja wa Stamford Bridge, walionekana wakiimba nyimbo za kumsapoti Mourinho.

Kuna baadhi ya mashabiki ambao walionekana wakiwa na mabango...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho : Drogba ni Chelsea damu.

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa Drogba ni Chelsea damu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho na Abramovich kuijenga Chelsea.

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema Roman Abramovich yuko pamoja nae licha ya Msimu mbovu wa Mabingwa hao wa England.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani