Mourinho: ilikuwa vigumu kumwachia Mata
Jose Mourinho amesmea kuwa ulikuwa ni 'uamuzi mgumu' kwake kumwachilia Juan Mata kujiunga na Manchester United.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
9 years ago
Bongo507 Dec
Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora
![2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108-300x194.jpg)
Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.
Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.
“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.
“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Ukawa wamponda Sitta kumwachia mkewe jimbo
Elias Msuya,Tabora
MSAFARA wa mgombea mwenza wa urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, juzi uliingia katika Jimbo la Urambo mkoani Tabora, huku makada wa umoja huo wakimponda mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta, kwa kumwachia mkewe, Margaret Sitta kugombea jimbo hilo.
Sitta ambaye pia ni Waziri wa Uchukuzi, amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa muda mrefu, huku mkewe akiwa mbunge wa viti maalumu.
Akizungumza wakati wa...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
SIASA: Zitto kumwachia cheo mgombea urais ACT
10 years ago
Vijimambo20 Nov
Klabu yahofia kumwachia Traore kuogopa kupata maambukizi ya Ebola
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/19/141119124829_traore_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.
Timu ya taifa ya Guinea ,Syli Nationale itacheza katika mechi ambayo lazima washinde dhidi ya Uganda nchini Morocco ambako mechi hiyo ilihamishiwa kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9Xz3oLArwLVtUvfqYkY-NzlUCD86iNv*0brHBtQ9LH25NEh0jQpvCG7f9OctBib1Gl0VIsS7hLEYvTokRSp*XZzI/article25922011CAAF03100000578550_964x386.jpg?width=650)
ROONEY, MATA WAMKOA MOYES
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mata ajasiliwa na Manchester United