Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho: ilikuwa vigumu kumwachia Mata

Jose Mourinho amesmea kuwa ulikuwa ni 'uamuzi mgumu' kwake kumwachilia Juan Mata kujiunga na Manchester United.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho: Itakuwa vigumu kumaliza nne bora

Mourinho amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kulazwa 1-0 na Bournemouth.

 

9 years ago

Bongo5

Jose Mourinho: Akili Itakuwa vigumu kumaliza nne bora

2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108

Kocha wa wa Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa itakuwa ngumu kwa timu yake kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao baada yao kufungwa 1-0 na Bournemouth nyumbani Jumamosi.

2F1F8D9E00000578-3348535-image-m-24_1449441762108

Hiki ni kichapo cha nane katika mechi 15 za Ligi ya Premia, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa alama 14 nyuma ya Manchester United walio nambari nne.

“Lengo letu ni kumaliza katika nne bora,” alisema Mourinho.

“Kabla ya mechi hii, kulikuwa na msingi kufikiria kuwa tulikuwa na uwezo wa kujitoa katika hali hii...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.

Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore

Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wamponda Sitta kumwachia mkewe jimbo

Samuel-SittaElias Msuya,Tabora

MSAFARA wa mgombea mwenza wa urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, juzi uliingia katika Jimbo la Urambo mkoani Tabora, huku makada wa umoja huo wakimponda mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta, kwa kumwachia mkewe, Margaret Sitta kugombea jimbo hilo.

Sitta ambaye pia ni Waziri wa Uchukuzi, amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa muda mrefu, huku mkewe akiwa mbunge wa viti maalumu.

Akizungumza wakati wa...

 

10 years ago

Mwananchi

SIASA: Zitto kumwachia cheo mgombea urais ACT

>Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema atalazimika kuachia wadhifa huo kwa mtu mwingine atakayeteuliwa na chama hicho kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Vijimambo

Klabu yahofia kumwachia Traore kuogopa kupata maambukizi ya Ebola

Mchezaji soka, Ibrahima Traore (pichani) ameiomba klabu yake ya Ujerumani Borussia Monchengladbach kumruhusu kuichezea timu yake ya taifa ya Guinea katika fainali ya kufuzu kwa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika 2015.

Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.

Timu ya taifa ya Guinea ,Syli Nationale itacheza katika mechi ambayo lazima washinde dhidi ya Uganda nchini Morocco ambako mechi hiyo ilihamishiwa kwa...

 

11 years ago

GPL

ROONEY, MATA WAMKOA MOYES

Straika Wayne Rooneywa  Manchester United akishangilia goli lake la pili dhidi ya Aston Villa uliopigwa kwenye uwanja wa Uwanja wa Old Trafford, maskani kwa Man United.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mata ajasiliwa na Manchester United

Manchester United hatimaye imemsajili Juan Mata kutoka Chelsea kwa kitita cha pauni milioni thelathini na saba

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani