Klabu yahofia kumwachia Traore kuogopa kupata maambukizi ya Ebola
Mchezaji soka, Ibrahima Traore (pichani) ameiomba klabu yake ya Ujerumani Borussia Monchengladbach kumruhusu kuichezea timu yake ya taifa ya Guinea katika fainali ya kufuzu kwa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika 2015.
Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.
Timu ya taifa ya Guinea ,Syli Nationale itacheza katika mechi ambayo lazima washinde dhidi ya Uganda nchini Morocco ambako mechi hiyo ilihamishiwa kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Nyarugusu-Tanzania yahofia Ebola
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uKe3PgjqYUw/XlbWpwJvTnI/AAAAAAALfog/DfI79xb-cIgUBHULvM1mW0SGvZgYFjlFQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111042699_coronavirus976.jpg)
Coronavirus: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-uKe3PgjqYUw/XlbWpwJvTnI/AAAAAAALfog/DfI79xb-cIgUBHULvM1mW0SGvZgYFjlFQCLcBGAsYHQ/s640/_111042699_coronavirus976.jpg)
Waziri Abdel Rahman Ben Bouzid alisema kuwa mgonjwa huyo ni mwanamume raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17, kulingana na shirika la habari la Reuters.
Mgonjwa huyo ametengwa kwa sasa.
Algeria imekuwa nchi ya pili Afrika kuthibitisha kupata mgonjwa wa virusi vya Corona.
Misri ilikuwa ya kwanza...
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Coronavirus: Je ndevu zinakuhatarisha kupata maambukizi ya ugonjwa huu?
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Je unaweza kupata maambukizi mara mbili?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QbVG8j9Pigs/XnoLobxxUWI/AAAAAAALk7I/UsbzlPGrCb0PYscPOxcci_O9R_wkFi0MQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B4.00.38%2BPM.jpeg)
MAKUNDI YALIYO KARIBU KUPATA MAAMBUKIZI YA KIFUA KIKUU YATAJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QbVG8j9Pigs/XnoLobxxUWI/AAAAAAALk7I/UsbzlPGrCb0PYscPOxcci_O9R_wkFi0MQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B4.00.38%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiKUTOKANA na kuwa na kinga dhaifu makundi ya wazee, watoto na watu wenye magonjwa ya kurithi wapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu.
Akizungumza jijini Dodoma leo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani, Dk Peres Lukango ambaye ni mratibu wa kifua kikuu na ukoma ngazi ya...
5 years ago
MichuziTUMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA - UMMY
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s72-c/who.jpg)
WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s1600/who.jpg)
Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.
Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...