Coronavirus: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-uKe3PgjqYUw/XlbWpwJvTnI/AAAAAAALfog/DfI79xb-cIgUBHULvM1mW0SGvZgYFjlFQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111042699_coronavirus976.jpg)
Waziri wa Afya nchini Algeria amethibitisha kwamba nchi hiyo imepokea kisa cha kwanza cha coronavirus katika taarifa iliyotolewa na runinga inayomilikuwa na serikali, ENTV Jumanne jioni.
Waziri Abdel Rahman Ben Bouzid alisema kuwa mgonjwa huyo ni mwanamume raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17, kulingana na shirika la habari la Reuters.
Mgonjwa huyo ametengwa kwa sasa.
Algeria imekuwa nchi ya pili Afrika kuthibitisha kupata mgonjwa wa virusi vya Corona.
Misri ilikuwa ya kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Coronavirus: Je ndevu zinakuhatarisha kupata maambukizi ya ugonjwa huu?
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Je unaweza kupata maambukizi ya virusi vya Covid-19 mara mbili?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-48q0AO25HOo/Xm96j856FJI/AAAAAAAC1CM/VXxWvEtD27chqtpHIv14GQjyDiVLU1dTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200316_150648.jpg)
TANZANIA YATHIBITISHA KUPATA MGONJWA W CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-48q0AO25HOo/Xm96j856FJI/AAAAAAAC1CM/VXxWvEtD27chqtpHIv14GQjyDiVLU1dTgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200316_150648.jpg)
Waziri huyo ameyasema hayo leo Jumatatu Machi 16, 2020, alipokutana na waandishi wa habari katika ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tafiti za Tiba (NIMRI).
Kwa mujibu wa taarifa kwa...
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Uganda yathibitisha kesi 18 za coronavirus
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Visa vya maambukizi ya Coronavirus vyaongezeka Kenya na Uganda