Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Je unaweza kupata maambukizi ya virusi vya Covid-19 mara mbili?

Baadhi ya wagonjwa wamepona virusi vya Covid-19, baada ya vipimo kuonesha kuwa hawana coronavirus, lakini je wanaweza kupatikana na virusi vya Covid-19 baadae?. Maambukizi ya coronavirus, ambayo yanadalili kama ya mafua ya kawaida, kwa kawaida husababisha mgonjwa kuwa na kinga ya mwili. Je kuna tofauti na virusi hivi?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je unaweza kupata maambukizi mara mbili?

Je unaweza kupata maambukizi ya virusi vya corona kwa mara ya pili? Kwanini wengine wanaugua zaidi kuliko wengine? Je ugonjwa huu utakuwa unarejea kila msimu wa baridi? Chanjo itafanya kazi? Unawezaje kukabiliana na virusi kwa kipindi cha muda mrefu?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Namna gani unaweza kuwa umbali wa mita mbili

Watu wameshauriwa kuwa umbali wa mita mbili ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona. Lakini unawezaje kujua upo umbali wa mita mbili na mwingine?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je unaweza kuambukizwa Covid-19 kutoka kwa miili ya wafu ?

Miili ya wahanga wa Covid-19 inaweza bado kutunza virusi hai, lakini inawezekana kuwapa mazishi ya heshima au kuwazika iwapo tahadhari za kutosha zitachukuliwa?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19

Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi

Waziri wa Afya nchini Algeria imethibitisha kwamba nchi hiyo imepokea kisa cha kwanza cha Corona

 

5 years ago

Michuzi

TUMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA - UMMY

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Tanzania imeanza kupata maambukizi ya Virusi vya Corona ya ndani kuanzia maambukizi yaliyopatikana tarehe 08/04/2020. Amesema kuwa tahadhari kubwa inahitajika katika kuhakikisha kuzuia kuendelea kwa maambukizi ya kijamii itasababisha kuongezekana kwa kasi ya maambukizi katika jamii. Ameyazungumza hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano na viongozi wakuu wa madhehebu ya dini katika kujadiliana namna ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona

Li Wenliang aliwatahadharisha madaktari wenzake mwezi Desemba, lakini polisi walimwambia aache kusambaza habari za ''uzushi''

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mama aliyekuwa na maambukizi ya Covid-19 ajifungua salama

Bi Silvia Kimaro aligundulika kuwa na virusi vya corona muda mfupi kabla ya kujifungua. Hali ya Silvia ilikuwa mbaya kabla ya kufikishwa hospitalini, lakini hatimaye alijifungua salama.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Janga hili linaua mara mbili'

Italia imepiga marufuku mazishi ya watu wanaofariki kutokana na janga la corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani