Coronavirus: Je unaweza kupata maambukizi ya virusi vya Covid-19 mara mbili?
Baadhi ya wagonjwa wamepona virusi vya Covid-19, baada ya vipimo kuonesha kuwa hawana coronavirus, lakini je wanaweza kupatikana na virusi vya Covid-19 baadae?. Maambukizi ya coronavirus, ambayo yanadalili kama ya mafua ya kawaida, kwa kawaida husababisha mgonjwa kuwa na kinga ya mwili. Je kuna tofauti na virusi hivi?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Je unaweza kupata maambukizi mara mbili?
Je unaweza kupata maambukizi ya virusi vya corona kwa mara ya pili? Kwanini wengine wanaugua zaidi kuliko wengine? Je ugonjwa huu utakuwa unarejea kila msimu wa baridi? Chanjo itafanya kazi? Unawezaje kukabiliana na virusi kwa kipindi cha muda mrefu?
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Namna gani unaweza kuwa umbali wa mita mbili
Watu wameshauriwa kuwa umbali wa mita mbili ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona. Lakini unawezaje kujua upo umbali wa mita mbili na mwingine?
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya corona: Je unaweza kuambukizwa Covid-19 kutoka kwa miili ya wafu ?
Miili ya wahanga wa Covid-19 inaweza bado kutunza virusi hai, lakini inawezekana kuwapa mazishi ya heshima au kuwazika iwapo tahadhari za kutosha zitachukuliwa?
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
Waziri wa Afya nchini Algeria imethibitisha kwamba nchi hiyo imepokea kisa cha kwanza cha Corona
5 years ago
MichuziTUMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA - UMMY
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Tanzania imeanza kupata maambukizi ya Virusi vya Corona ya ndani kuanzia maambukizi yaliyopatikana tarehe 08/04/2020. Amesema kuwa tahadhari kubwa inahitajika katika kuhakikisha kuzuia kuendelea kwa maambukizi ya kijamii itasababisha kuongezekana kwa kasi ya maambukizi katika jamii. Ameyazungumza hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano na viongozi wakuu wa madhehebu ya dini katika kujadiliana namna ya...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona
Li Wenliang aliwatahadharisha madaktari wenzake mwezi Desemba, lakini polisi walimwambia aache kusambaza habari za ''uzushi''
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Mama aliyekuwa na maambukizi ya Covid-19 ajifungua salama
Bi Silvia Kimaro aligundulika kuwa na virusi vya corona muda mfupi kabla ya kujifungua. Hali ya Silvia ilikuwa mbaya kabla ya kufikishwa hospitalini, lakini hatimaye alijifungua salama.
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Virusi vya corona: 'Janga hili linaua mara mbili'
Italia imepiga marufuku mazishi ya watu wanaofariki kutokana na janga la corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania